Jaman naskia waliopata division three wanaenda diploma je ni kweli? Nakama nikweli wanaombaje admision maana nacte ilishafunga. NAOMBA MWENYE UFAHAMU JUU YA HILI ATUJUZE KIDOGO.
Hivi na zile za mwezi wa tatu veepe????? maana walidai ile ndo ilikua intake ya kwanza but sijaona matokeo yake au ndo wanaunganisha yote according to this advert????? Msaada hapo:confused::confused::confused:
Asee jaman na mimi ni mhanga kuna namba inaanza 0693 Zipo mbili zinanibip mara nkipokea kimya af nkipiga cjui nimeekwa blacklist maana nkipiga inaita mara moja inakata ilazenyewe zinanipata. Msaada wakuu mandao gani huo???
sasa wadau mdona naona kuna deadline mbili kwenye kada ya afya? maana kuna ile orodha ya vyuo vitakavyo chukua wanafunzi wa afya inasema deadline ni 30/03/2016 but kuna sehemu ingine wameorodhesha deadline za course zote na imeoneshwa afya ni 31/05/2016. naomba mwenye update anisaidie wakuu yani...
Hello wadau poleni na mihangaiko ya siku. Tafadhali kama upo Shinyanga Mjini naomba unisaidie jinsi ya kupata chumba cha kupangisha au kama kuna mwenye namba ya dalali anisaidie pia kama unaweza ntafutia ntakupa chochote kwa shukrani.
Naomba msaada wenu wanajamvi. Natanguliza shukrani zangu..
sasa maswala ya BRN yametoka wapi mkuu? nahisi una stress za maisha maana unaongea vishazi tegemezi halafu unajiona umetoa information. dalili ya mtu mwenye stress ni ku jump into issues. what is the connection of ur maters BRN na uzi wangu by the way? au ndo nahisi kwanza unatumia abriviations...
shukran mkuu. hiyo TFL nahisi ntakuwa nimekosea ila unaposo requirement za vyuo vya nje wahita language test sasa kuna vitu ka vitatu hiv laki mesau nimejitahid kutunisha msur nkataja TFL nkijua wadau watanikosoa topic iende mrad swala langu nimelipatia ufumbuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.