rayman m
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 120
- 27
Hello wadau poleni na mihangaiko ya siku. Tafadhali kama upo Shinyanga Mjini naomba unisaidie jinsi ya kupata chumba cha kupangisha au kama kuna mwenye namba ya dalali anisaidie pia kama unaweza ntafutia ntakupa chochote kwa shukrani.
Naomba msaada wenu wanajamvi. Natanguliza shukrani zangu..
Naomba msaada wenu wanajamvi. Natanguliza shukrani zangu..