Mitaa ya kibaha misugusugu huku kuna kamba si ya nchi hii, barabara imejaa magari kwa zaidi ya lisaa hakuna gari linalosogea, mbadala mnaweza kupitia njia ya bagamoyo
Mtanange huu wa heavy weight utarushwa mubashara na kituo chetu pendwa cha kizalendo cha luninga cha pale Bamaga hapo tarehe 21/01/2019, usikose
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nawaza kwa vikundi kama vicoba ambavyo vinachangishana hela kidogo na kukopeshana itakuwaje? Maana maagizo ya BOT yamesimama wima!
Karibuni wajuvi wa mambo ya finance mtutoe tongotongo kidogo, asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau? Kama kichwa kinavyojieleza naomba kujua ni app gani naweza kutumia kucheki soka hasa mechi ya leo ya epl inayochezwa usiku mnene! Asanteni wanasoka
Wale wa kuingia na kutoka Tabata tafuteni njia mbadala kwa muda huu maana tairi za train zimehama na kusababisha train kuziba barabara ya kuelekea Tabata.
Naona usajili wa sasa umeenda sambamba na dirisha dogo la VPL, kila timu inajitahidi kuimarisha kikosi chake, huyu anaenda huku na huyu anaenda kule, siasa kama soka usimwamini sana mchezaji anayebusu jezi yake akifunga goli hata kama anawasaidia vipi au mnampenda vipi muda wowote anaweza...
Nimekuwa kama nina addiction ya kutumia magic powder kwa kunyolea maana inafanya kidevu kiteleze na haileti vipele, sasa nauliza kama kuna madhara yoyote kuitumia mara kwa mara, na kama yapo ni alternative ipi naweza kufanya kunyoa ndevu? Maana viwembe vinaniletea vipele
Asanteni
Kuna msemo umezoeleka usemao 'iache sheria ichukue mkondo wake' naona huu msemo unalekea kupoteza maana, hatuna subira tena ya kuiacha sheria ichukue mkondo wake, maamuzi yanatolewa na wadau wasio na taaluma ya sheria kupitia mitandao ya kijamii, na viongozi wetu wanamalizia bila kujali kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.