Je kunyolea magic powder kuna madhara?

kivyako

JF-Expert Member
Feb 2, 2012
14,341
12,045
Nimekuwa kama nina addiction ya kutumia magic powder kwa kunyolea maana inafanya kidevu kiteleze na haileti vipele, sasa nauliza kama kuna madhara yoyote kuitumia mara kwa mara, na kama yapo ni alternative ipi naweza kufanya kunyoa ndevu? Maana viwembe vinaniletea vipele
Asanteni
 
Back
Top Bottom