Mnaoenda mikoani jiandaeni kisaikolojia

.[ATTACH=full
 

Attachments

  • IMG_20190831_062452_802.jpeg
    IMG_20190831_062452_802.jpeg
    48.4 KB · Views: 13
  • IMG_20190831_062452_802.jpeg
    IMG_20190831_062452_802.jpeg
    48.4 KB · Views: 13
Shukrani mkuu, haujabahatika kujua kipi kimepelekea hiyo hali? Tuombe isihusishe wachomoa betri.
 
Mitaa ya kibaha misugusugu huku kuna kamba si ya nchi hii, barabara imejaa magari kwa zaidi ya lisaa hakuna gari linalosogea, mbadala mnaweza kupitia njia ya bagamoyo
Sisi tunaotumia ndege hayatuhusu
 
Mitaa ya kibaha misugusugu huku kuna kamba si ya nchi hii, barabara imejaa magari kwa zaidi ya lisaa hakuna gari linalosogea, mbadala mnaweza kupitia njia ya bagamoyo
Nimeshakata tiketi ya Kwenda Morogoro unanishaurije?
 
siku hizi kuna masaa ya kutumia hio barabara.. around saa 5 asbuhi mpaka saa 8 mchana ivi ndo inaaachia.. ukijichanganya ukataka kutoka asbuhi dar au ukataka kuingia dar jioni through morogoro road umekwisha. foleni ya jioni inaanzia mlandizi.. hapo ni 5 hrs mpaka ubungo
 
J5 nilitoka kibaha kwa mfipa saa 8 nikafika mbez saa 11 kasoro n home saa 1
siku hizi kuna masaa ya kitumia hio barabara.. around saa 5 asbuhi mpaka saa 8 mchana ivi ndo inaaachia.. ukijichanganya ukataka kutoka asbuhi dar au ukataka kuingia dar jioni through morogoro road umekwisha. foleni ya jioni inaanzia mlandizi.. hapo ni 5 hrs mpaka ubungo
 
Kweli bado tupo nyuma, gari zinazopata ajali kuendelea kuwepo eneo husika kwa masaa wahusika wako wapi? kama kuna mgonjwa wanataka kuwahi inakuaje? Kwa maendeleo tunayoyasikia kwenye vyombo vya habari utadhani bongo sasa ni kama New York, lakini uhalisia hali ndio hii
 
Back
Top Bottom