Bila shaka sote tumekuwa mashahidi wa udhihirisho wa ukweli kuwa‘’siku zote mwanadamu anapambana kupunguza maumivu na kuongeza furaha’’ hususani kwenye nyakati za leo za maendeleo ya sayansi na teknolojia. Jambo hili limechochea biashara na utengengenezaji wa pesa kupitia haki za miliki bunifu...
Suala la upimaji wa taaluma vyuo vikuu hasa vile vya serikali,limefikia hatua ambayo linahitaji
serikali kuingilia kati ili kuifanya elimu ya juu kuleta matunda tarajiwa kwa taifa. Niukwel usiopingika kuwa elimu ya Tanzania hususani ile ya vyuo vikuu imekuwa ikionekana kupungua ubora wake kila...
Uhai wa serikali yoyote unategemea mapato inayoyakusanya ili kuendesha mipango yake katika nchi. Na nguzo kuu ya mapato hayo huwa ni wananchi waliyoipatia dhamana serikali hiyo hasa kwa njia ya kodi. Lakini nakumbuka kanuni za ukusanyaji wa mapato kwa njia ya kodi zilizotolewa na mwanafalisafa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.