Tanesco Buseresere chato.
Nimelipia umeme toka mwezi wa 12 mwaka jana. Transfomer ipo uwanjani kwangu. Kuunganishwa tu imekua shida. Eneo nililopo ni buseresere mapinduzi
Kwa kifupi sana. Mwanaume hata wakipangana warembo 100. Akaambiwa achague mmoja. Roho itabaki inamuuma kwa kuwaacha hao 99.
Sent using Jamii Forums mobile app
RIP.. Polen sana wanafamilia ya Cofamily.. alikua mwalimu wa Idara ya Computer.. tumepata pigo sana hususan Beng 06,07,08
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninauza software kwa ajili ya kuendeshea duka la madawa.
Software inafanya yafuatayo:- Hapa naorodhesha baadhi tu
Kama kunadawa ndani ya duka zinakaribia kuisha muda wa matumizi Itakupa taarifa.
Kuweza kuelewa thamani halisi ya dawa ulizo nazo ndani ya duka.
Kama una maduka mawili au zaidi...
angalia kama .net 4.0 - 4.5 kama umeinstall before. inabid uitoe then install. yenyewe itakua na .net yake ambayo itainstall wakat ukiwa unaintall server
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.