Search results

  1. S

    Kundi hatari la Mafisadi laibuka, haligusiki, lina ulinzi Mkali

    Katika historia ya Tanzania na utumishi wa Umma hakujawahi kuwa na wafanyakazi wawili wala rushwa kama waziri January Makamba na Mkurugenzi wa TANESCO bwana Maharage Chande. Ukiachilia mbali mambo aliyoyasema CAG kwenye ripoti yake na madudu yakiyofanywa na wawili hawa, tumeshuhudia mwishoni...
  2. S

    Spika Tulia Ackson ana "conflict of interest" katika Wizara ya Nishati, mume wake ni bosi wa EWURA

    Leo asubuhi tumeshuhudia jinsi spika wa bunge Dokta Tulia akihaha kuhalalisha kuwa kikanuni akidi (idadi) ya wabunge imetimia na mjadala wa bajeti ya wizara ya nishati itaendelea tu japo kuna wabunge zaidi ya 200 wamesusia mjadala wa wizara ya nishati leo asubuhi. Dr. James Andilile ni mume wa...
  3. S

    Tulia Ackson aendelea kukanyaga kanuni kumlimda bosi ya mumewe, akidi ya wabunge haijatimia kupitisha bajeti ya nishati

    Spika wabunge la Tanzania ana kibarua kigumu sana kunusuru na kuhalalisha bajeti ya wizara ya nishati baada ya kulazimika kutoa ufafanuzi leo kuwa ni wabunge 193 tu waliohudhuria majadiliano na kikanuni ni sawa. Hiyo inafuatia mining'ono iliyokuwepo ndani ya ukumbi wa bunge juu ya uhalali wa...
  4. S

    Tulia Ackson aandika historia mpya ya kuwa Spika wa kwanza kubariki Rushwa bungeni

    Bunge letu la Tanzania leo limeingia kwenye historia nyingine ya kuwa kitu cha ajabu sana kwa kauli za Spika Dokta Tulia kuita rushwa kuwa ni kitu cha kawaida kufanyika. Spika akijua kabisa siyo sawa leo amekitetea kwa nguvu sana kitendo cha wabunge kukubali rushwa ya mitungi ya gesi 100 kila...
  5. S

    Mitungi 100 ya gesi ya January Makamba kwa ufafanuzi wa Spika Tulia ilikuwa siri, Salma Kikwete karopoka bila kujua?

    January Makamba ufisadi upo kwenye DNA? Kupitisha bajeti tu, umewanunulia wapiga kelele 320 mjengoni 'coupon' za majiko ya gesi ili wasipige kelele? Kila kichwa mjengoni majiko 100. Hapo ni majiko 32,000, Mtungi wa 6kg ni Sh. 40,000. Hii ni Sh1.28 bilioni. Gharama hizi analipa nani? Pesa hizi...
  6. S

    Wizara ya Nishati yatuhumiwa kumwaga rushwa kwa wabunge na waandishi wa habari. Takukuru ingilieni

    Kwa mara ya kwanza katika siasa za Tanzania na kwenye bunge la bajeti tunashuhudia jinsi wizara ya nishati inavyonunua waandishi wa habari na wabunge katika jitihada za kuhakikisha bajeti yao inapitishwa bika mikwamo. Ni utamaduni mpya sana wa kiutendaji na kwa kweli haijapata kutokea kama...
  7. S

    Rushwa iliyotolewa na Wizara ya Nishati yawapofusha wabunge, Kingu ni mmoja wao

    Mbunge Kingu tumesikia mchango wako kwenye bejeti ya nishati. Ni haki yako kuchangia hivyo kwa kuwa ndicho walichokutuma wananchi wa jimbo lako na unalipa deni la rushwa mliyopokea kwa kazi hiyo mnatofanya sasa. Tahadhari ni kuwa mnapomhusisha Rais kwenye mambo haya tunawapa angalizo tu kuwa...
  8. S

    January Makamba anasumbuliwa na tatizo kubwa sana la kutojua hesabu na kusema uongo

    January Makamba anasumbuliwa na tatizo kubwa sana la kutojua hesabu na kusema uongo. Anataabishwa sana na kufanya mambo ili kuonekana anafanya makubwa wakati ukweli ni kuwa mbali na maonyesho ya kusaini mikataba kila siku na kuleta porojo za miradi ya umeme bado taifa hili lina matatizo makubwa...
  9. S

    Kesi ya Mkulima imenifungua jambo kuhusu Mwigulu Nchemba

    Nimemsikiliza mkulima aliefungua kesi dhidi ya mawaziri na watendaji kadhaa wa serikali kuhusu tuhuma za ripoti ya CAG, ameongea mengi na kutaja wengi lakini kwangu mimi nimegundua jambo, ametaja mawaziri wote na kashfa zao lakini alipofika kwa mwigulu kataja bila kashfa. Anamwingiza Mwigulu...
  10. S

    Hakuna vita kati ya Mwigulu na Makamba, walitegewa mtego na kiongozi wao mwoga, Chawa wapumzike sasa

    Hizi ni picha zilizopigwa leo tarehe 4/5/2023 zikiwaonesha vijana manguli wa siasa za Tanzania, Dkt Mwigulu Nchemba, January Makamba na Nape Nnauye wakiwa katika mjadala na tabasamu zito. Picha hizi zimeibua mijadala mikubwa katika mitandao ya kijamii, baada ya hivi karibu kuiibuka mzozo mkubwa...
  11. S

    2025 Kazi Imeisha, 2030 Wakristo hatuna mpango wa kukodi Mgombea

    Leo tumehitimisha rasmi mbio za urais Mwaka 2025, wote kwa pamoja tumempitisha Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea pekee wa kiti cha Urais. Mwaka 2030 ni muda mwafaka wa Wakristo kuongoza nchi hii, tunao wakristo wengi sana, wanatutosha kabisa. Hatuna mpango wowote wa kukodi mtu toka dini...
  12. S

    Mbowe ameishiwa hoja, ameamua kutumia misiba kisiasa. Hana mvuto tena

    Leo nilikuwa msibani Arusha, kilichonishangaza ni namna Freeman Mbowe alivyoishiwa mbinu na hoja na kuamua kutumia misiba, harusi kufanya siasa zake za kishamba. Mbowe Leo akiwa kanisani alimwagiza Mpambe wake Ndugu Amani Golugwa aingilie Ratiba ya Kanisa na kulazimisha Mbowe aongee, jambo...
  13. S

    Mbunge Saashisha Mafuwe aanza kuweweseka, ni baada ya wananchi wa Hai kumwambia live kuwa Mbunge wao halisi ni Mbowe

    Mbunge wa Mchongo Saashisha Mafuwe ameanza kukurupuka na kuweweseka kutokana na ujio wa Kaka Freeman Mbowe Mwamba na hii ni baada ya Wananchi kumweleza hadharani kwenye mikutano yake ya hadhara kuwa wao wanamtambua Mbowe kama Mbunge wa kuchaguliwa na yeye ni Mbunge wa kuteuliwa. Hali hii...
  14. S

    Wananchi wa Hai tumemchoka Saashisha Mafue, analeta migogoro ya kutugawa

    Wabunge wa magufuli wanaendea kutuletea kero majimboni, Mfano huyu mafue amekuwa kinara wa migogoro katika vijiji vya nshara na uduru akitaka kuleta uhasama Mkubwa. Mafue ananuka Damu za Sabaya
Back
Top Bottom