2025 Kazi Imeisha, 2030 Wakristo hatuna mpango wa kukodi Mgombea

Samson Kwayu

Member
Jun 9, 2022
18
90
Leo tumehitimisha rasmi mbio za urais Mwaka 2025, wote kwa pamoja tumempitisha Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea pekee wa kiti cha Urais.

Mwaka 2030 ni muda mwafaka wa Wakristo kuongoza nchi hii, tunao wakristo wengi sana, wanatutosha kabisa. Hatuna mpango wowote wa kukodi mtu toka dini nyingine kuja kutuongoza.

Hili nalo limeisha.

Kila Mtu aheshimu Dini aliyokuzwa na Kulelewa humo, Vitu vya kupita visiwafanye mkane Imani zenu.

Mtashugulikiwa kama alivyoshugulikiwa John Malecela.
 
Leo tumehitimisha rasmi mbio za urais Mwaka 2025, wote kwa pamoja tumempitisha Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea pekee wa kiti cha Urais.

Mwaka 2030 ni muda mwafaka wa Wakristo kuongoza nchi hii, tunao wakristo wengi sana, wanatutosha kabisa. Hatuna mpango wowote wa kukodi mtu toka dini nyingine kuja kutuongoza.

Hili nalo limeisha.

Kila Mtu aheshimu Dini aliyokuzwa na Kulelewa humo, Vitu vya kupita visiwafanye mkane Imani zenu.

Mtashugulikiwa kama alivyoshugulikiwa John Malecela.
Wakristo hawafai kupewa nchi kabisa
 
Leo tumehitimisha rasmi mbio za urais Mwaka 2025, wote kwa pamoja tumempitisha Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea pekee wa kiti cha Urais.

Mwaka 2030 ni muda mwafaka wa Wakristo kuongoza nchi hii, tunao wakristo wengi sana, wanatutosha kabisa. Hatuna mpango wowote wa kukodi mtu toka dini nyingine kuja kutuongoza.

Hili nalo limeisha.

Kila Mtu aheshimu Dini aliyokuzwa na Kulelewa humo, Vitu vya kupita visiwafanye mkane Imani zenu.

Mtashugulikiwa kama alivyoshugulikiwa John Malecela.
Unamaanisha waziri fulani ambae ukianzisha uzi kumuhusu unafutwa?
 
Leo tumehitimisha rasmi mbio za urais Mwaka 2025, wote kwa pamoja tumempitisha Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea pekee wa kiti cha Urais.

Mwaka 2030 ni muda mwafaka wa Wakristo kuongoza nchi hii, tunao wakristo wengi sana, wanatutosha kabisa. Hatuna mpango wowote wa kukodi mtu toka dini nyingine kuja kutuongoza.

Hili nalo limeisha.

Kila Mtu aheshimu Dini aliyokuzwa na Kulelewa humo, Vitu vya kupita visiwafanye mkane Imani zenu.

Mtashugulikiwa kama alivyoshugulikiwa John Malecela.
Kwa jinsi Rais Samia alivyo Muungwana tayari ni sifa tosha ya kuzoa kura zote ila wale amsha amsha lazima wawepo asije kujisahau.
 
Labda huko chadema maana anafanya kazi yenu. Huku ccm hatumtaki.
 
Back
Top Bottom