Habari ya asubuhi wana jamvi,ndg zang inatia uchungu,hasira na maskitiko kuona mamlaka zetu zinazohusika na vyombo vya usafiri wa majin na nchi kavu ktoa vibali/lesen kw magar yaendayo mikoan yakiw mabovu.unakuta gar mlango haufungi,drva anatmia mda mwng kushkria mlango kulko umakn brbran,gari...
Katika harakati za maisha vijana 2naanzia sehem mbalimbali,mwaka 2006 ktk kuanza maisha ya kkaz nlijkuta nmepangwa mkoani Tabora ktk wilaya flan,hko nliish kma bachela,cku zlvozdi kwnd nlpata demu(mpenzi)alikuw kma mke kwn alitmiza kila swala linalomhusu mke,ikiwemo sex,kupka,kfua nk,bdae mwka...
Ndg zang naomba mnisaidie ktk sehemu ya referees kwenye cv,eti hairuhusiwi kumuandika ndugu mwnye jina moja kma referee wko?na ni watu gani wanafaa kuw mareferee?mfano walimu wako,marafiki,mabosi nk.na je m2 ukimuandka kma referee lazima awe na taarifa.ahsanten.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.