Sijakuelewa, ila kwa maelezo zaidi google utapata kila kitu!!
Ndg zang naomba mnisaidie ktk sehemu ya referees kwenye cv,eti hairuhusiwi kumuandika ndugu mwnye jina moja kma referee wko?na ni watu gani wanafaa kuw mareferee?mfano walimu wako,marafiki,mabosi nk.na je m2 ukimuandka kma referee lazima awe na taarifa.ahsanten.
Ndg zang naomba mnisaidie ktk sehemu ya referees kwenye cv,eti hairuhusiwi kumuandika ndugu mwnye jina moja kma referee wko?na ni watu gani wanafaa kuw mareferee?mfano walimu wako,marafiki,mabosi nk.na je m2 ukimuandka kma referee lazima awe na taarifa.ahsanten.
Huna maana wewe, unafikir hapa n facebook,
huo uwongo wako, utatafuta kazi mpaka utazeeka!
Mpaka kufikia kukomenti hivi, utakuwa ushajuwa title inataka nini na mada inataka nini... BAsi katika harakati za kuonyesha uungwana at least ungeijibu title kivyake na mada kivyake...tittle yako ni tofauti na mada yenyewe
Kweli huyo jamaa chiz au elimu yake ya kubabaisha kwani ishu ya majina si inajulikana toka shule za msingi,kama unataka kutumia jina moja si ukacheze mpira tena utokee Brazil ndo ukitaja gaucho,pele,robhino nk wanajulikana ila kama ni ishu yakazi mzee acha ubabaishaji na kupoteza mida ya watu!Kwenda zako siwezi kukushauri mtu mwongo, umetudanganya kwenye kichwa cha thread kana kwamba unataka kuelimishwa kumbe unatafuta msaada, hata kazi hutopata coz umeonyesha tabia za kitapeli.
Huna maana wewe, unafikir hapa n facebook,
huo uwongo wako, utatafuta kazi mpaka utazeeka!