Baada ya IRAN kuongelewa ivi karibuni kihusu Drone zake za Kamikaze na hivo kizua mijadara mbalimbali Duniani.. Imebidi tuje na Uzi maalumu utakaokua unaonesha Technology ya IRan ktk utengenezaji wa vifaa mbalimbali mf vya Kijeshi, hospitals, magari na kadhalika...
Uzi huu ni open kwa kila...
Tunaomba kujua kutoka kwa Meneja wa MWAUWASA Mwanza kua hivi huu ndio utaratibu wa Hili Tank kubwa la JR huku Nyasaka kumwaga Maji namna hii.
Hiko hivi Haya ma tank makubwa yaliyojengwa na serikali hivi karibuni yamewekewa outlet chamber kama ikitokea yamejaa sasa hizo outlet zimeelekezwa...
Wadau salama!
Kuna ongezeko La Rushwa katika shirika letu hili. Siku za ivi karibuni Utendaji na utoaji Huduma TANESCO umegubikwa na wimbi la ajabu la watendaji wake kuomba rushwa ili upatiwe Huduma.
Huduma zimezidi kuwa mbovu achilia mbali mgao wa kudumu uliopo nchini ili la watu/wateja wa...
Tujiandae kwa hili linaloendelea Duniani kwasasa... Bei ya Mafuta tutegemee kupanda hadi kufikia 3000 au zaidi km trend ya mambo ya kidunia hayatabadirika kwasasa.
Tuombe Mungu Iran vikwazo viondolewe ili irudi ktk soko la Dunia... Tuombe Mungu mgogoro wa Russia/Ukraine uishe japo sio sasa...
Baada ya wakandarasi kufunga hizi Taa barabarani na kuondoka hatujui ninani anaepaswa kuzifanyia service.. Nilitembelea Mwanza ivi karibuni Likizo barabara ya Maduka Tisa iliwekewa taa miaka 2 iliyopita lakini zinazowaka hazifiki ata 5 Barbara nzima kuanzia Buzuruga hadi Pasiansi... Je kandarasi...
A powerful explosion has rocked a sensitive Israeli missile factory during a test for advanced weapons, according to a report.
The explosion took place on Tuesday during a 'routine test' by the Tomer factory for advanced weapon, Israel's Haaretz daily newspaper reported on Wednesday.
There...
F-22 Raptor CRASHES, pilot in stable condition
----
Ndege ya Jeshi la Marekani imeanguka wakati wa mafunzo huko Florida, Rubani amepona baada ya kutua salama
---
A US Air Force F-22 Raptor jet has crashed during a training flight in northwest Florida. The pilot survived after ejecting...
Baada ya failure za kupeleka satellites kadhaa hatimae Iran Leo hii imefanikiwa kurusha satellite ya kijeshi yenye matumizi ya kijeshi angani....Tutegemee US,Israel na NATO kulaumu maana apo awali walikua wakihituhumu Iran kua satellite zake uenda zikawa na matumizi ya kijeshi
---
An Iranian...
Kulingana na Takwimu ya idadi idadi ya maambukizi mapya kwa siku tutarajie vifo vingi kwa Siku kuliko hata Italy au Spain.
Kuna wadau humu walisema US anapima watu wengi ndo maana anaonekana ana maambukizi lakini idadi ya vifo vikiwa vichache.
Tatizo hata hao wanapatikana inabidi waanze...
https://www.ynetnews.com/articles/0,7340,L-5528992,00.html
Baada ya kukataa kua hakuna drone yoyote iliyoangushwa na majeshi ya Iran muda ni mwalimu mzuri Iran walitoa video ikioneshwa drone ikiwa angani inawaka moto! Sasa US wamethibitisha kua drone yao aina ya RQ-4 Global Hawk imeangushwa...
Katika hali ya Uhasama inayoendelea baina ya US na Iran Leo Iran imeitungua Ndege isiyokua na Rubani aina ya Global Hawk uko mashariki mwa Iran maeneo ya Jask! RQ-4 Global Hawk ni aina ya Drone inayotegemewa sana na Marekani ktk masuala ya Intelligence, kwani sifa yake kubwa ni kupaa ktk...
https://www.tasnimnews.com/en/news/2019/06/09/2028057/iran-unveils-new-air-defense-missile-system
Ukiwa na Nguvu utadumu ktk hali zote! Huu ni msemo maarufu kwawenzetu wazungu! Iran ineendelea kujiimarisha kiulinzi ambapo leo J2 Imezindua likifaa lingine la kutungua midege vita ikiwemo Zile...
https://english.alarabiya.net/en/features/2019/05/19/The-Iranian-missiles-considered-by-the-United-States-as-a-threat-to-security.html
Baadhi tu ya Makombora ambayo US anasema Iran inatishia Usalama wa Marekani!
Ikiwa vita ya Maneno ikiendelea kati ya Marekani na Iran nimekutana na huu Uzi ktk...
Ukweli Mchungu! Wasalaam Watumishi wa Umma, Poleni na majukumu na Uzalendo wa kuendelea kulitumikia Taifa letu hili!
Kwanni Nimesema Watumishi wa Umma Msitegemee Ongezeko la Maslahi 2020 ni kwasababu zifuatazo:-
1.Rais wa awamu ya Tano amevuruga uchumi wa toka 07%hadi 04% kulingana na Tafiti za...
Duh ktk pitapita zangu nimeshtuka kuona hii Nchi yenye ma sanctions kila kukicha eti wanazalisha umeme zaidi ya Megawatts 80,000 na kuuza ktk nchi zote wanazopakana nazo km Turkey,Irak,Pakistan nk nk Uku Tanzania tokea Uhuru hadi Leo hii hatujawahi fikisha ata Megawatts 2000 na bado tunahubiri...
Apo Jana jeshi la wanamaji wa Iran lillikabidhiwa Manowari mbili mpya kabisa ambazo zimetengenezwa nchini umo! Manowari zikizokabidhiwa apo Jana zinauwezo wa Ku sail kwenye shallow water of Persian golf na kuweza kubeba silaha km missiles,torpedoes na under water explosive.... Pia kiongozi wa...
Iran Unveils New Military Vehicle - Tasnim News Agency
No wonder kwanini US amekua akiiwekea vikwazo Iran kwa zaidi ya Miaka 40 lengo ni ku slow down nguvu yao ya maendeleo ktk kila sekta na kua super power middle east lengo ni kubalance power kati ya wapinzani wake Israel na Saudi Arabia....
Iran Launches Homegrown Fighter Jet Production Line - Tasnim News Agency
Iran Leo imeanza kutengeneza kwa wingi ndege zake ambazo kila kifaa kimetengenezwa nchi umo....Hii sio ndege ya kwanza kutengeneza na Iran lakin zilizopita baadhi ya vifaa viliagizwa nchi nyingine maana huwez masta kila...
Ikiwa ni Chini ya Masaa 24 tu Serikali ya Rwanda imebadirisha maamuzi yake ya kuzuia Adhana jambo ambalo limezua uvumi kua nini kimepelekea Kagame kusitisha maamuzi ayo haraka hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.