Taa za Barabarani za Solar nyingi haziwaki kwa sasa

BINARY NO

JF-Expert Member
Dec 29, 2011
2,142
2,148
Baada ya wakandarasi kufunga hizi Taa barabarani na kuondoka hatujui ninani anaepaswa kuzifanyia service.. Nilitembelea Mwanza ivi karibuni Likizo barabara ya Maduka Tisa iliwekewa taa miaka 2 iliyopita lakini zinazowaka hazifiki ata 5 Barbara nzima kuanzia Buzuruga hadi Pasiansi... Je kandarasi inasemaje? Je Betri za solar zimeisha hivo zinahitajika kubadirishwa au lah? Je ni Halmashauri ndo inapaswa kuzifanyia service au lah? Au baada ya miaka 2 hizi Taa zikizimika tunabaki na nguzo tu?? Tanzania Tanzania hivi hakuna hanaeona hii miradi iliyo gharrimu mamilioni ikiangamia????
 
Baada ya wakandarasi kufunga hizi Taa barabarani na kuondoka hatujui ninani anaepaswa kuzifanyia service.. Nilitembelea Mwanza ivi karibuni Likizo barabara ya Maduka Tisa iliwekewa taa miaka 2 iliyopita lakini zinazowaka hazifiki ata 5 Barbara nzima kuanzia Buzuruga hadi Pasiansi... Je kandarasi inasemaje? Je Betri za solar zimeisha hivo zinahitajika kubadirishwa au lah? Je ni Halmashauri ndo inapaswa kuzifanyia service au lah? Au baada ya miaka 2 hizi Taa zikizimika tunabaki na nguzo tu?? Tanzania Tanzania hivi hakuna hanaeona hii miradi iliyo gharrimu mamilioni ikiangamia????
Taa za sola tunazouziwa nyingi huwa muda wa betri umekwisha hii pia ni pamoja na betri za simu ndiyo sababu hazihifadhi chaji kwa muda mrefu.
 
Baada ya wakandarasi kufunga hizi Taa barabarani na kuondoka hatujui ninani anaepaswa kuzifanyia service.. Nilitembelea Mwanza ivi karibuni Likizo barabara ya Maduka Tisa iliwekewa taa miaka 2 iliyopita lakini zinazowaka hazifiki ata 5 Barbara nzima kuanzia Buzuruga hadi Pasiansi... Je kandarasi inasemaje? Je Betri za solar zimeisha hivo zinahitajika kubadirishwa au lah? Je ni Halmashauri ndo inapaswa kuzifanyia service au lah? Au baada ya miaka 2 hizi Taa zikizimika tunabaki na nguzo tu?? Tanzania Tanzania hivi hakuna hanaeona hii miradi iliyo gharrimu mamilioni ikiangamia????
Hata hapa Tabora nimegundua taa hizo zinaanza kuwa nyingi haziwaki usiku.
 
Hii ni rushwa kubwa inafanywa baina ya wachina wakandarasi na Wasimamizi wa mradi pamoja na Tanroads, huwa wanaruhusu wachina kuandika lebo fake ya specification inayohitajika kwa bidhaa hafifu kabisa!! TBS wamekuwa hawwna msaada wowote
 
Back
Top Bottom