Search results

  1. beijing_07

    Olympic nimeona hadi black Japanese

    nimemuona leo nilijua ni fatma karume zile nywele
  2. beijing_07

    Usiyoyajua kuhusu mji wa Songea

    ni uongo tupu mwandishi acha zarau
  3. beijing_07

    Tunapozidiwa hadi na nchi zenye watu laki 3 kwenye Olympics

    ngoja nimalizie hii game ya brazil na mexico dakika ya 84, 0-0
  4. beijing_07

    Wasifu wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi

    mkuu unaonekana una jambo unalijua vzur tuu
  5. beijing_07

    Wasifu wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi

    huyu ni jirani kabisa hapa kibaha ya ndege nyumba yake na ya kwetu zinatizamana kwa ukaribu mkubwa sana nasikitikia tu yule mke wake ambae mh:-akiwa bungeni vijana kama sisi tulikuwa tunaruka nae sana tu.
  6. beijing_07

    Tunapozidiwa hadi na nchi zenye watu laki 3 kwenye Olympics

    bora umeniwahi maana nilikuwa nakuja na page nne zilizo shiba
  7. beijing_07

    Mafuta Mazuri ya kupakaa ya Nywele

    tafuta mafuta ya nywele yanaitwa OPTIMAL HAIR FOOD utakuja kunishukuru baadae.
  8. beijing_07

    Mfahamu Hanspope, RPC aliyeuawa kikatili na Jeshi la Idi Amini

    hii vita bado inaendelea na hapo simba yupo kama ushahidi tuu
  9. beijing_07

    Upepo mkali unaovuma usiku huu 31.07.2021 kulikoni?

    wewe ni mwanga nini usku wa saa 9 ujalala.
  10. beijing_07

    Aliniacha kwa fedheha, lakini leo anahitaji msaada wangu

    fata hii njia toa msaada kama mtu ambae hamjuani ili usikumbuke maumivu yyte then usifate yale atakayo yeye wanawake wana self defense yao ya kugawa penzi ili kukusaulisha yale magumu aliyokueleza tambua bado anamegwa na huyo jamaa ake wa chuo ila ww kama kijana smart msaaidie then pita...
  11. beijing_07

    Ushauri: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

    ukishakua tyr nicheki nipo hapa be forward kwa muda wa miaka 4 naacha maoni ya watu uyafanyie kazi ukishapata gari karbu dm mkuu.
  12. beijing_07

    Natafuta rafiki wa kiume

    una mawazo kama yangu Faith21 acha niseme ombi lako limekuwa granted.
  13. beijing_07

    Zanzibar: Rais Mwinyi afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu katika Taasisi mbalimbali

    nilikuwa nae ofisini moja...na mimi ndie niliyemsaidia kuhamisha vitu vyake kutoka ofisi ya azam tv wakat anahamia CRDB
  14. beijing_07

    Zanzibar: Rais Mwinyi afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu katika Taasisi mbalimbali

    hii ndo habari ambayo nilikuwa naisubiri sana huyu jamaa nina iman ridhik yangu ipo kwake ....toka,akiwa clouds,baadae azam tv,CRDB na sasa mkurugenzi mkuu hakika mungu ni mwingi wa rehema.
  15. beijing_07

    Huyu sio gaidi natamani litambulike hilo

    umetumwa mkuu
  16. beijing_07

    Nahitaji kujuzwa historia ya Tanganyika Packers

    Gwajima au mwamposa watakuwa wanajua vzuri sana
Back
Top Bottom