Karibu upate Tanga stones. whatsApp +255 718755347 nipo Tanga, Mkinga (mgodini kabisa). jiwe kubwa moja utapata kwa Tsh 2,000/-, mawe madogo utapata kwa Fuso Tsh 250,000/- na square meter kwa Tsh 22,000/-. bei zote ni negotiable.
Karibuni sana.
Wakuu wa Tanga Stones,
Ninayo habari njema kwa sasa licha tu ya kuuza mawe as raw materials.
Ninaye fundi anakata tiles za mawe viwango vya juu na anajenga kwa ustadi wa hali ya juu.
Karibu sana WhatsApp +255 718755347,
pia piga au sms +255 754886851
Ukosefu wa ajira umekuwa ni wimbo mkubwa ambao umeathiri asilimia kubwa ya vijana Afrika na dunia nzima kwa ujumla. Licha ya jitihada mbali mbali zinazochukuliwa kuwaajiri watu katika taaluma zao rasmi mfano ualimu, udaktari n.k. ni jambo la kawaida vijana hawa hawa wenye taaluma fulani kuwa na...
Tanga stones ni mawe mazuri, unatumia kuremba ukuta, unaweka kama tiles na pia unaweza kuweka kama paving. ni mazuri sana. ninayo ukihitaji kwa biashara au kwa kujengea nyumba yako. kama una swali lolote kuhusu Tanga stones uliza hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.