Search results

  1. S

    Vile mashauzi yalivyoniumbua

    Nilikuwa ndio kwanza 18y wakati huo Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  2. S

    Vile mashauzi yalivyoniumbua

    Umenikumbusha zamani kuna mdada alikaa vibaya nikamfata kumwambia kama amekaa vibaya.(chupi inaonekana) kumkaribia namwita dada alifoka huyo nenda kanyonye huko unataka nitongoza nini?[emoji15] Duh nikamwambia chupi nyekundu ulovaa watu wanaiona aliruka huyo.[emoji23] machali walibaki...
  3. S

    Demiss amepotelea wapi?

    Duh kumbe wewe ndie Atoto na kile kiteddy bear?. Aisee Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  4. S

    Rais Mwinyi: Kushuka kwa kiwango cha hali ya usalama husababisha kuporomoka kwa utalii

    Ufaransa na Brazil kuna vibaka hatari kule na watalii kila leo wanakwenda India kuna vibaka hatari na watalii wanakwenda. Zanzibar wala urojo na ubuyu na haluwa Leo wanaundiwa na jeshi la watalii na makamera kila kona. Kuna viongozi wana akili za kitumwa kweli mwananchi ndio wakupewa ulinzi...
  5. S

    Taifa Stars kuondolewa kwenye njia ya kwenda Qatar ni baraka toka kwa Mungu

    Kuna wanga wa usiku na wanga wa social media. Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  6. S

    Demiss amepotelea wapi?

    Katika wanawake niliokuwa napenda kila siku nisome uzi au comments zake alikuwa mchizi Demiss huyu dada alikuwa na kitu pekee juu ya uwakilishi wa maandishi yake. Niwe mkweli nimemmiss sana huyu dada Demiss la Lara1. Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  7. S

    Davido achangisha hela kwa wasanii aliowasaidia kutoka, Focalist katoa, Diamond bado hajatoa hela

    Kawasaidia au alifanya nao collabo jee yeye alifanya nao collaboration bure hata achangiwe? Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  8. S

    Dada zetu, acheni kutumia uhusiano kama fursa ya kutimiza ndoto zenu

    Mdingi kauza ng’ombe mjini anarudi kijijini na stori ya kula kimasihara familia inakufa kwa njaa. Tatizo sio wanawake ni hao wazee na wastaafu mwehu Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  9. S

    Ewe Mwenyezi Mungu nakuomba usipokee Maombi ya Watanzania ulete Mvua, bali acha Kwanza tufe ili Akili zitukae sawa na tuache kuwa Mazuzu

    Huyu jamaa apewe like za kutosha, akikutana na baba Jessica alete habari kama malaika nao wanafurahia huko au la. Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  10. S

    Wazazi na ndugu wa mke wangu wananikosesha raha

    Na wewe ilete familia yako baba yako atamla mamamkwe na mama yako ataliwa na babamkwe mashemegi watakulana wenyewe kwa wenyewe.
  11. S

    Wadada wenye maumbo mazuri kwa asilimia kubwa wakikutana na mwanaume huhisi kutongozwa tu

    Mnataka wawe walaini ili mlete stori yake kwenye kuliwa tunda kimasihara sio[emoji1787][emoji1787] Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  12. S

    Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa

    Sabaya amefanya makosa yake Makonda amefanya makosa yake, lakini waliokuwa wakiwapa nguvu yote ni polisi wetu. Jee wakubwa wa polisi nao watashtakiwa kwa makosa ya kutoa ushirikiano nao?. Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  13. S

    Kibaha: Wananchi walishambulia basi la Sauli baada ya kusababisha ajali na kuua abiria wa bodaboda

    Nimeshapanda haswa sio kuyaona, sheria inasema dereva akigonga traffic afanye uchunguzi sasa mwananchi unachukuwa hatua ya kushambulia kama nani?. Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  14. S

    Hiroo Onoda: Askari wa Kijapan aliyeendelea kupigana WW2 kwa miaka 29 baada ya vita kuisha

    Alikuwa anapigana vita na nani komba au popo?.[emoji1787][emoji1787] Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  15. S

    Mkutano wa Biden na Xi: Dunia itarajie nini?

    China ina miaka 72? acheni utani bwana sisi waislamu mtume wetu, Amesema tafuteni elimu mpaka China hio zaidi ya miaka 1400 iliopita. Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  16. S

    Kibaha: Wananchi walishambulia basi la Sauli baada ya kusababisha ajali na kuua abiria wa bodaboda

    Hakuna watu wajinga kama hawa kwani ajali dereva kaitaka? Kwanini mumshambulie kwa mawe na polisi wapo?, watanzania tuna matatizo ya akili. Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  17. S

    Rais Putin aeleza uhusiano wake na Iran na kusisitiza kustawishwa kwa uhusiano na ushirikiano wa nchi mbili

    Maisha ya mataifa makubwa ni sawa na maisha ya mtaani yaani wewe ndie mbabe wao. Halafu unakuwa na kikundi chako cha uchokozi(Panya road), Tofauti yao panya road wakipata wana mpelekea mkuu mapato. Haya mataifa madogo wao wananunua silaha kwa babe lao na kuchapana. Lunatic...
  18. S

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Sana utapata supermarket au zile mini supermarket(hizi huwa bidhaa zake zinaletwa na watu wanaoishi ulaya na USA). Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  19. S

    Wanawake / Wanaume ambao ukishiriki nao tendo la ndoa 'mambo yako yanaenda vizuri zaidi'

    Wapenda papuchi wengi wanaishi kwa wazee wao au shemegi zao, sasa kishatembea nao anaombwa hela hana. Kilobakia anakuja na stori za kutungwa Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  20. S

    Ni sahihi akaunti ya Serikali ya TCCIA ku-follow changudoa mitandao ya kijamii?

    Nao wana Kiu joto kali sana. Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Back
Top Bottom