Ufaransa na Brazil kuna vibaka hatari kule na watalii kila leo wanakwenda India kuna vibaka hatari na watalii wanakwenda. Zanzibar wala urojo na ubuyu na haluwa Leo wanaundiwa na jeshi la watalii na makamera kila kona.
Kuna viongozi wana akili za kitumwa kweli mwananchi ndio wakupewa ulinzi...
Katika wanawake niliokuwa napenda kila siku nisome uzi au comments zake alikuwa mchizi Demiss huyu dada alikuwa na kitu pekee juu ya uwakilishi wa maandishi yake. Niwe mkweli nimemmiss sana huyu dada Demiss la Lara1.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Mdingi kauza ng’ombe mjini anarudi kijijini na stori ya kula kimasihara familia inakufa kwa njaa. Tatizo sio wanawake ni hao wazee na wastaafu mwehu
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Huyu jamaa apewe like za kutosha, akikutana na baba Jessica alete habari kama malaika nao wanafurahia huko au la.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Sabaya amefanya makosa yake Makonda amefanya makosa yake, lakini waliokuwa wakiwapa nguvu yote ni polisi wetu. Jee wakubwa wa polisi nao watashtakiwa kwa makosa ya kutoa ushirikiano nao?.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
China ina miaka 72? acheni utani bwana sisi waislamu mtume wetu, Amesema tafuteni elimu mpaka China hio zaidi ya miaka 1400 iliopita.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hakuna watu wajinga kama hawa kwani ajali dereva kaitaka? Kwanini mumshambulie kwa mawe na polisi wapo?, watanzania tuna matatizo ya akili.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Maisha ya mataifa makubwa ni sawa na maisha ya mtaani yaani wewe ndie mbabe wao. Halafu unakuwa na kikundi chako cha uchokozi(Panya road), Tofauti yao panya road wakipata wana mpelekea mkuu mapato. Haya mataifa madogo wao wananunua silaha kwa babe lao na kuchapana.
Lunatic...
Sana utapata supermarket au zile mini supermarket(hizi huwa bidhaa zake zinaletwa na watu wanaoishi ulaya na USA).
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Wapenda papuchi wengi wanaishi kwa wazee wao au shemegi zao, sasa kishatembea nao anaombwa hela hana. Kilobakia anakuja na stori za kutungwa
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.