Ndugu yangu huwezi kuelewa maana hujui mpira Wala hufuatilii mpira , kingine unasema kwa kawaida,maana yake umekariri. Kilichofanyika ni sahihi na refa alikuwa sahihi. Ingia YouTube angalia Liverpool vs Barcelona, Simba vs Nkana Red Devil na mengine mengi.
Ndio ukubwa huo kiongozi.
Wewe huyo tu mmoja unachukia mapenzi?
Mimi nikimpata tit for tat mchumba wangu ambaye nimempangishia chumba,nikamkanata na mwanaume ndani saa 5 usiku hiyo Ni 2007 na akanizuga kwamba ni jamaa wa rafiki yake. Sikutoa vurugu na jamaa alimpa mimba wakatoa na mwishowe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.