Huu mchezo wanaufanya hata Traffic wa barabarani.
Yaani iko hivi gari yako yawezekana iliandikiwa parking huko nyuma sasa control number bado inasoma kwahiyo watu wa parking wakiona hesabu walopewa kwa siku haijafikiwa wanaingia kwenye mfumo wanachukua hizo control number na kuziandikia parkin...
Mkuu sasaiv Dar kuna aina nyingi sana ya malaya/wadangaji.siwez nunua malaya anaejiuza waziwazi kuna hawa malaya unawakuta ni graduate ila amepanga chumba tabata wenyewe Mara nyingi unakutana nao viwanjani haswa beach au shopping malls. Wao huwa wanajiuza kwa ujanja flani hivi huwa hawataki...
Nikweli kabisa. Nilishawahi mfanyia mmoja hivi paaap kaja lodge nikachakata mbususu mpaka asubuhi nikamchukua kwenda kumdrop kwake ile tumefika kwake nikapaki Gari nikamwambia ngoja nkutumie kupitia bank basi nikajifanya nafanya transction kwa sim kisha nikamwambia tayari, akasema mbona sms...
Vijiji vingi vya wilaya ya Bariadi mkoa wa Simiyu utashangaa wasukuma Sijui walifata nini huko, unakuta kijiji hakina umeme Wala maji. Yaan Maji yao wanachimba mabwawa kipindi cha mvua Maji yanatuama humo basi ng’ombe na binadam wote ndo mnakunywa Maji hayo!! Maji Kama maziwa kuna wachawi huko...
Point yako iko tofauti kabisa na mada aloleta jamaa!
Swala la kupanga mji vizuri sio hivyo vibali vya ujenzi. Hizo nchi unazosema Nyumba zao zimepangika ni kwasababu kabla watu hawajavamia maeneo kwaajili ya makazi, serikali inaenda kupima hivyo viwanja inatengeneza mitaa na njia za miundo mbinu...
Amani haijaharibika kiasi hicho kwamba JWTZ waingizwe mtaani serikali ingia gharama za kuwalipa posho. serikali Ina mambo mengi sana ya kuwafanyia wananchi wake ikiwa pamoja na huduma za afya elimu na mambo kadha wakadha.
Panyaroad ni rahisi mno kuwasambaratisha ni vile tu serikali haijawa...
Habari wana jukwaaa.
Kijana wangu amepoteza cheti chake cha elimu ya kidato cha nne, kwa mwenye uzoefu na hili jambo hatua za kufanya ni zipi?
Je, ataweza kupatiwa kingine?
Tembo wamekuwa wengi na wanauwa watu na kuharibu mazao ya wananchi ni vile tu vyombo vyetu vya habari vinaandika habari za mijini tu.
Wilaya ya Nachingwea na Ruangwa mkoani Lindi wananchi wanapoteza maisha kutokana na Tembo. Wananchi wamekuwa na Hasira mpaka walitaka kugomea sensa kutokana na...
Habari wana JF,
Kwa wale wataalam wa ujenzi na ambao mmeshajenga nyumba, nini suluhisho la kuondoa unyevu/kurowa kwa msingi wa nyumba?
Kwani unyevu/kulowa huko husababisha rangi ya nyumba kubanduka na kufanya nyumba kupoteza muonekano.
Habari zenu wana JF
Kuna hii huduma ya kusafisha headlights jamaa wanaitoa ukungu zinakuwa na muonekano Kama mpya. Hivi usafishaji huu hauna madhara kweli kwa taa za Gari hapo badae?
Kama hii hela inaenda Brela, basi Brela wanatubebesha mzigo mkubwa, 22k ni nyingi mno kwa ku-certify usajili wa kampuni.wangeweka hata 500 kwani ikumbukwe kampuni hii inayotakiwa kuwa confirmed kwenye system ya Brela tayari imeshachajiwa hela nyingi tu za kutosha za usajili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.