GPS TRACKING SYSTEM NI NINI
Ni mfumo ambao unawezesha chombo cha moto ambacho kimefungwa kifaa hicho kuweza kutoa taharifa mbalimbali kwa muhusika.
Mfano ---- Sehemu chombo kilipo
---- Mwendokasi wake
---- Kupata...
Naomba ushauri na msaada wa kisheria nimenasa audio ya watu wawili wakipanga jinsi ya kutafuta hati ya kiwanja changu.kwa sasa kiwanja hakina hati. nataka niwashtaki je nitafanikiwa na pia hii imekaaje kisheria
kuwa makini na kachumbali za maeneo ya kariakoo Dsm hasa kwenye vibanda vya chips na baadhi migahawa na mahoteli.Kwani kuna wale wajasiliamali wanaouza vifaa vya kukatia kachumbali mitaa ya kariakoo kwa kuonyesha jinsi vifaa hivyo vinavyofanya kazi,utakuta ana lundo la karoti,kabichi nk...
Kutokana na habari zinazohusu ajari humu jamvini.jamani naomba dua zenu.nipo mtwara kikazi na kesho ndo narudi dar yan nimewamiss sana wanangu hasa hasa mama yao naomba dua zenu ili nifike salama na kuungana na family yangu
Habib bank iliyopo maeneo ya kariakoo imevamiwa na majambazi yamefanikiwa kuondoka na kiasi kikubwa cha hela kwa kutumia gari aina ya nohar tukio limechukua zaidi ya dk 45 kwani wamefanikiwa kuingia mpaka strong room
update
Inasemekana zaidi ya bilion 1 zimeibiwa.majambazi walikua 5 na...
Natafuta gari ya kukodisha kwa muda wa siku 3 iwe na uwezo wa kuchukua watu zaidi ya saba na iwe katika hali nzuri.iwe ya bei nafuu na haitajiki dereva
Linda gari lako kwa kutumia mtambo maalum kupitia simu yako ya kiganjani
kwa mawasiliano zaidi tembelea
-www.isecuretz.blogspot.com
-isecure24@ymail.com
-isecure...
Kuna wafanyakazi wa kampuni moja. Wapo zaidi ya kumi wamejikuta hela zao zimetoweka katika mazingira ya kutatanisha katika akaunti zao Za NBC. Na kila mmoja kwa wakati wake alijaribu kufuatilia bila mafanikio.Ila walioibiwa wote ni wale wenye kadi mpya Za NBC.Je kuna mwanajamvi yeyote naye...
Inasemekana Kuwa wakati mafuriko yakiendelea siku ya pili watu walikuwa kwenye vikao vya wokozi wakigawana Posho badala ya kwenda moja kwa moja eneo la tukio na vifaa vya kuokolea watu ikiwa hii nikweli basi Hatuna viongozi Tanzania hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.