Habari wakuu,
Kwa wanafanya malipo ya serikali watakubaliana nami kuwa, mfumo wa kulipia na kuhakiki malipo wa serikali " government e payment gateway" (GEPG), haufanyi kazi vizuri kwa takriban mwezi sasa! Hali hii inasababisha usumbufu mkubwa wa kufanya na kuhakiki malipo ya serikali.
Ni...
Wakuu toka jana usiku simu yangu laini ya airtel haina network , najaribu kupiga namba za airtel kupitia laini ya back up nazo haziendi , mwenye taatifa zaidi tafadhali
Wadau nataka kununua bidhaa za electoonic hasa simu, kutoka nje ya Tanzania. Hii imetokana na ukweli kuwa maduka ya vitu vya Electronic hapa Bongo kustock bidhaa za Brand fulani pekee, kimsingi hakuna user option nyingi in terms of gadgets Brands, nimejaribu E bay, inaonekana hawa ship Tanzania...
Siku moja ,Nilipanda basi la mkoani (sio TZ),bus attendant akaweka documentary film ,nakumbuka jinsi abiria walivyokua wakibadilishana mawazo kutokana na facts zilizokua zinasimuliwa kwenye documentary ile,(sijaikumbuka jina ila ilikuwa kuhusu tafiti za kisayansi) , wakati wa kurudi nikapanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.