Sasa kwan anaetuma ni mtu?Wanajuwa wabongo wengi hawana muda na calculation ndo maana wanajitumia tu
Hii lafudhi kama sio ya Kitanzania, "salio Ya Sms" badala ya Salio la Sms, Sio mkenya huyu aliendika?
Kma jana Kupatana system yao ya email ilizingua wapi sijui. Wametuma email hyo hyo kma mara 50 hvi. DaahHizo ni automatic messages zinazotumwa na software, kutokana na predifined conditions. Sasa hapo ni software ndio imeona hivyo na ni makosa ya condition statement kwenye software hiyo.
Condition zimewekwa kinyume, yaani ulichotumia ndio kimetajwa kama salio.
Dakika umetumia 14% umebakiwa na 86%
Wakati
Sms umetumia 1% , umebakiwa na 99%
Hapo kweli wanatakiwa kuedit conditions za mfumo maana mfumo unapokea commands zenye IF functions zilizo na makosa.Hizo ni automatic messages zinazotumwa na software, kutokana na predifined conditions. Sasa hapo ni software ndio imeona hivyo na ni makosa ya condition statement kwenye software hiyo.
Condition zimewekwa kinyume, yaani ulichotumia ndio kimetajwa kama salio.
Dakika umetumia 14% umebakiwa na 86%
Wakati
Sms umetumia 1% , umebakiwa na 99%