Utangulizi
Kama vijana tunakabiliwa na kupambana na changamoto nyingi zikiwemo kukosa ajira na mitaji. Kulingana na utafiti wa REPOA 2021 inakadiriwa kuwa vijana 800000 hadi 1000000 huingia kwenye soko la ajira kila mwaka na 50000 hadi 60000 pekee ndio hufanikiwa kupata ajira wakiwaacha wenzao...
Nimekupata mkuu. Wakati Extrovert anakuja nisaidie kujua kama kuna subwoofer inayokaribia angalau kiuwezo/ubora na HT? ( subwoofer nimemaanisha hz brand za kichina)
Aisee huyu mtu niliwahi kuwa naye. Yani ilikuwa ni furaha kumwona na yeye kuniona. Kila linalonihusu wa Kwanza kujua yeye na vivyo hivo Kwa upande wake linalomtatiza lazima aje kupata Amani kwangu. Kuna wakati alikuwa akija analia lakini baada ya kuongea naye anatulia na kupata amani kabisa...
Basi utakuwa hujijui! Kiongozi umpendekeze 2009 ukivutiwa na utendaji wake 2019 umkatae kwa nguvu zote Kwa utendaji ule ule...???!!!
Wanaokutegemea nawahurumia! (kama wapo lakin)
Wabongo we waone tu! 5-10yrs later utasikia...haya angeweza Magufuli tu...laiti Magufuli angekuwepo... Magufuli ndo alikuwa Rais na bla bla kibao.
Ponapona yenu watanzania wenzangu Mungu aibue mtu mwingine mwenye umagufuli kiasi fulani vinginevyo mtalia kilio kisichoisha na kusahaulika Kwa muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.