Rais wa TFF Karia ana tatizo gani Kocha Fred Felix Minziro? Tazama video hii

Hii ni hatare kwa soka letu

Jana F. Minziro akiwa anampa mkono raisi wa TFF akaukwepa

Mna shida gani jamani?

Je mnaweza ondoa hizi tofauti zenu kuokoa soka la Tanzania

Hili jambo limesikitisha wengi sana.
 
Niliona Karia wakati minziro anapokea zawadi na kusalimia wageni karia alikiwa anahangaika kama anangatwa na kunguni huku anaangalia nyuma maro kushoto, kulia.
 
Wallace Karia ni shabiki Lia Lia wa Simba. Na mwenyekiti wa zamani wa Simba bwana Aden Rage alishatueleza kuhusu akili za mashabiki wa hilo litimu la Mwamed
 
Kuna mambo yanashangaza sana kwenye michezo hususani soka letu la Bongo. Jana tarehe 30 Mei, 2021 ndio ilikuwa fainali ya ligi ya daraja la kwanza kati ya Mbeya Kwanza dhidi ya Geita Gold. Pamoja na timu zote mbili kupanda daraja na kuwa na sifa za kucheza ligi kuu bara.

Msimamizi wa masuala ya soka Nchini ambaye kisheria anatambulika kama Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania "Tanzania Football Federation (TFF)" Bwana Wallace Karia, aligoma kumpa mkono/kumpongeza Kocha bora wa Mashindano hayo ya FDL. Sitaki sana kuamini kwamba ni 'bifu' lililopo kati yao au kutofurahia mafanikio ya Timu hiyo kupanda daraja. kitendo hiki ni kulidhalilisha soka la Tanzania ambalo yeye aliomba kusimamia na wadau wa soka wakampa nafasi. Ikiwa kuna mambo mengine pembeni Karia alitakiwa tu kuipongeza Timu hiyo na kocha wake kwa kofia ya Rais wa TFF sio Jina lake.

Wito kwenu wajumbe wa Mkutano Mkuu utakaofanya Uchaguzi wa Viongozi wa TFF mkatuchagulie watu watakaosimamia ukuaji wa soka letu, sio watakaosimamia Migogoro katika soka letu, vitendo kama kile cha jana havina afya kwa mpira wa miguu na michezo kwa ujumla.

Binafsi nampongeza Kocha Minziro, ukifuatilia rekodi zake ni miongoni mwa walimu mabingwa sana wazawa wanaofanya kazi ya kupandisha timu kutoka madaraja ya chini kwenda ligi kuu, Timu kama Mbao, Alliance na Singida United zote zimepita mikononi mwake, si mwalimu wa kumbeza kwa kiasi kinachofanywa na viongozi wa soka letu wa aina ya Karia.
 
Leo ilikuwa fainali ya ligi daraja la kwanza kati ya mshindi wa kundi A na B, Mbeya kwanza vs Geita Gold. Geita inayonolewa na Minziro imeshinda. Sasa wakati Fred anaenda kuchukua tuzo yake Karia alihakikisha hampi mkono Baba Isaya.

Hata kama wanatofauti zao,ila Karia kama kiongozi amefanya utoto sana,kiongozi huwezi kufanya vile.

Huyu Msomali ni fedhuli mkubwa. Ipo haja ya kumny'ang'a passport ya Tz arudi kwao Mogadishu.

Ana dharau ile ya Kisomali kabisa.
 
Kuna mambo yanashangaza sana kwenye michezo hususani soka letu la Bongo. Jana tarehe 30 Mei, 2021 ndio ilikuwa fainali ya ligi ya daraja la kwanza kati ya Mbeya Kwanza dhidi ya Geita Gold. Pamoja na timu zote mbili kupanda daraja na kuwa na sifa za kucheza ligi kuu bara.

Msimamizi wa masuala ya soka Nchini ambaye kisheria anatambulika kama Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania "Tanzania Football Federation (TFF)" Bwana Wallace Karia, aligoma kumpa mkono/kumpongeza Kocha bora wa Mashindano hayo ya FDL. Sitaki sana kuamini kwamba ni 'bifu' lililopo kati yao au kutofurahia mafanikio ya Timu hiyo kupanda daraja. kitendo hiki ni kulidhalilisha soka la Tanzania ambalo yeye aliomba kusimamia na wadau wa soka wakampa nafasi. Ikiwa kuna mambo mengine pembeni Karia alitakiwa tu kuipongeza Timu hiyo na kocha wake kwa kofia ya Rais wa TFF sio Jina lake.

Wito kwenu wajumbe wa Mkutano Mkuu utakaofanya Uchaguzi wa Viongozi wa TFF mkatuchagulie watu watakaosimamia ukuaji wa soka letu, sio watakaosimamia Migogoro katika soka letu, vitendo kama kile cha jana havina afya kwa mpira wa miguu na michezo kwa ujumla.

Binafsi nampongeza Kocha Minziro, ukifuatilia rekodi zake ni miongoni mwa walimu mabingwa sana wazawa wanaofanya kazi ya kupandisha timu kutoka madaraja ya chini kwenda ligi kuu, Timu kama Mbao, Alliance na Singida United zote zimepita mikononi mwake, si mwalimu wa kumbeza kwa kiasi kinachofanywa na viongozi wa soka letu wa aina ya Karia.
Wajumbe wote wako mfuko wa nyuma, atarudi tu
 
Karia ni mjinga sana, kaibania GeitaGold mda mrefu sana, sasa imetoboa yamemshuka.
Nahisi Timu zote zenye chembechembe au urafiki na Yanga huwa hazitoboi kwenye utawala huu. GeitaGold wana bahati sana na ikiendelea kuwa na Kocha Minziro huenda ikashuka daraja msimu ujao.

Mfano wa timu kama Toto Africa, Singida UTD, Mbao, Kagera sukari, African Sports, Arusha UTD au Mawenzi Market iliyotumika hadi kucheza mechi ya kumuaga Abdi Kassim na mechi ya maandalizi ya pre-season. Timu zote hizo zilitepeta kimkakati.

Sitashangaa kuiona Pamba ikitinga ligi kuu msimu ujao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom