TASLIMA
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,030
- 3,601
Mbonyi shapfo?Limekuwaje?
Mbonyi shapfo?Limekuwaje?
MH au sio!!Pindi la DS mule MH mnakaa wote mnatosha daaah shule hizi...!
Yes, I do have! Nina rafiki yangu ambaye tulikuwa pamoja. Wazazi wake waliletwa kufanya kazi ktk mji niliozaliwa bahati nzuri walipata nyumba ya pembeni yetu. Huyu dada tumezaliwa mwaka mmoja, kaka zake na dada zake walikuwa marafiki zangu sana.Habari zenu wakuu,
Nimemkumbuka kaka fulani tulikuwa marafiki sana tangu nikiwa secondary. Kwa miaka 10 alikuwa mtu wangu wa karibu sana, mshauri wangu kwenye kila Jambo.
Able man hukuonesha abilities zako akaamua akupotezee baada ya kukutana na wazee wa Kazi Bagamoyo.Aisee huyu mtu niliwahi kuwa naye. Yani ilikuwa ni furaha kumwona na yeye kuniona. Kila linalonihusu wa Kwanza kujua yeye na vivyo hivo Kwa upande wake linalomtatiza lazima aje kupata Amani kwangu. Kuna wakati alikuwa akija analia lakini baada ya kuongea naye anatulia na kupata amani kabisa anasahau yaliyomsibu
Abilities zipi labdaAble man hukuonesha abilities zako akaamua akupotezee baada ya kukutana na wazee wa Kazi bagamoyo.
Yes nimekukumbuka sana asee huyu mke naona nimuache tuyajenge old friendNimepata msg ndeeefu ya aliyekuwa my veeeery very best friend jioni hii, kuwa japo we're not close enough nowadays as we used to be sababu amekwishaoa na ndoa inam-keep busy, but am still the best thing that happened to his life once in a lifetime,
Nimeisoma text yake ikanigusa, nikaogopa kuijibu maana huu si muda rafiki wa kuwasiliana na mtu 'usiyehusika naye'..! Naingia JF napatana na this thread, Mpaka I had the feeling kuwa isije kuwa yupo humu naye kaona hii thread ndiyo akanikumbuka..!!
Mkuu unabahati Sana Mke wake alikubali urafiki baada ya ndoa. Wengi wao kwenye uchumba anajifanya anakubali urafiki wenu, wakishafunga tu ndoa hataki uwe na mazoea na mume wake na urafiki wenu utafia hapo.I have a male friend
Urafiki wetu umepelekea hadi mke wake akawa rafiki yangu tena tumeshibana zaidi yake(rafiki). Tulianza urafiki kabla hajaoa...tukashirikiana kutafuta mchumba...nikamsindikiza kutoa mahari...tukaoa...walichelewa kupata mtoto tukafunga na kuomba pamoja...tukahangaika hosp pamoja...wakapata mtoto wa kike...wakamwita jina langu
Tunalia wote...tunacheka wote
Hajawahi kunikosea adabu
Ananipenda
Nikikosea ananikanya kama rafiki kwa upendo
Urafiki wa kike na wa kiume is very possible
Mungu akubariki my friend.
Mungu akubariki rafiki yangu
Daa.. mimi naongea kwa masikitiko makubwa sana kwa sababu, napataga marafiki wa kushibana wa jinsia tofauti na yangu. TATIZO LINAKUJA HAPA, katikati ya urafiki ndio umenoga sasa, tunajikuta tupo kitandani.
Baada ya hapo sasa tunaahidiana hio ni just a one time thing, imetokea tu bahati mbaya. Tukikutana tena mambo yanajirudia, tunabaki kusema tuendelee kukimbiza mwenge ila MARUFUKU KUFALL IN LOVE KWA MWENZAKE.
Sasa, wivu wivu ukianza unajua tayari makubaliano yashavunjwa. Na urafiki unapungua kiivvyo mpaka unatokomea kusikojulikana.
Na unaweza kuona hata mtoa mada pamoja na kusema huyo mwamba alikuwa best tu ila unaweza kuona kuna ka nafasi amekaweka ka kumtunuku mwamba mbususu,hakuna mpenzi atayekubali mpenzi wake awe na urafiki na jinsia tofauti na yeye..Chukulia ww ndo mke wa rafiki wa binti fulani,unaweza kuruhusu mahusiano ya ukaribu wa namna hyo uendelee kuwepo?
I have a male friend
Urafiki wetu umepelekea hadi mke wake akawa rafiki yangu tena tumeshibana zaidi yake(rafiki). Tulianza urafiki kabla hajaoa...tukashirikiana kutafuta mchumba...nikamsindikiza kutoa mahari...tukaoa...walichelewa kupata mtoto tukafunga na kuomba pamoja...tukahangaika hosp pamoja...wakapata mtoto wa kike...wakamwita jina langu
Tunalia wote...tunacheka wote
Hajawahi kunikosea adabu
Ananipenda
Nikikosea ananikanya kama rafiki kwa upendo
Urafiki wa kike na wa kiume is very possible
Mungu akubariki my friend.
Mungu akubariki rafiki yangu