JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inapenda kuutarifu Umma kuwa; kwa mujibu wa Kifungu cha 37 (3) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, Mhe. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemjulisha...
Nimewiwa kutoa tahadhari kwa Chama tawala na pendwa! Cha CCM juu ya nguvu hii kubwa inayotumika kuwavuta ndani ya chama viongozi au wanachama wenye ushawishi kutoka katika Vyama vya upinzani. Kwa wakati huu, kwa sura moja tunaweza kuona Kuwa ndiyo njia pekee ya kutumia ili kuvidhoofisha au...
Hayo uliyoyabainisha ni kweli ndiyo yalikuwa msingi wa matokeo yaliyotokea. Lakini yafaa ujue pia kuwa, kwa kufuata msingi wa Katiba na Kanuni za CHADEMA watuhumiwa walikuwa na haki zote za kujieleza na kutetea njia/mbinu walizotumia hadi kupata hizo zinazoitwa nyaraka za chama za kuthibitisha...
Naomba nikili kwa lugha zote kuwa katika wanasiasa waliopo katika Taifa hili, hakuna mwanasiasa mwingine mwenye weledi uliopea na mwenye uwezo wa kucheza namba zote uwanjani kama Mwenyekiti wa CHADEMA. Ndugu, MBOWE.
Mhe, MBOWE ni mtu pekee kwa ambaye katika miongo Zaidi ya mitatu ameweza...
Ukiangalia sintofahamu na matukio ya kihuni yanayoendelea ndani ya CHADEMA na katika Taifa hili, kwa ujumla wake ukiangalia katika macho ya kiroho, utagundua kuwa uwepo wa changamoto hizi zinazopitiwa na Chadema, hauna tofauti na zile ambazo wana wa Israeli walizipitia wakati wakitoka katika...
Umenena kweli jamaa yangu. Tena bora hao wanaondoka na bolt! Wengine ukikutana nao njiani wanachapa rapa kama wanaenda msibani ila wakishafika huko wanakuwa watu tofauti kabisa!
;););) Weeee! mimi ni lijali ndugu yangu. Na pindi atakayekuwa amepata nafasi hiyo nitamleta hapa na kuishukuru management ya JamiiForums..................
Zikiwa zimesalia takribani siku nne tu kuelekea siku ya kupiga kwa ajili ya kumpata kiranja Mkuu wa taifa letu pamoja na wawakilishi wetu katika mjengo wa kutunga sheria, kuna viashiria kadhaa vinavyojionesha kutaka kupoka amani na utulivu ambao watanzania tumekuwa nao kwa miaka mingi sana...
Habari marafiki zangu wa kwenye uwanja huu wa mahusiano!
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 48 ambaye nina watoto tayari. Niliachana na aliyekuwa mke wangu miaka 8 iliyopita na hadi sasa nipo huru.
Kutokana na uhitaji wa mtu kama huyu, ndiyo maana nakuja hapa kushare na wenzangu.
Kama kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.