Plot inauzwa yenye ukubwa wa square meter 1540, ipo maeneo ya sinza kumekucha opposite lion hotel.
Now inatumika kama garage, na hamna structure yoyote iliyojengwa,suitable for a hall,hotel or yard. Bei yake ni mil900 maongezi yapo, wasiliana na namba hii kama mpo interested 0715411129
Wafanyakazi wote ambao wamesomea veta mambo ya usafi wanaitajika na kampuni mpya inayoitwa sparklean ltd company, ambayo inaanza kazi rasmi mwezi wa pili.
Wafanyakazi wote ambao wanadhani wanaweza kufanya kazi za usafi wawasiliane na mtu mwenye email hii: akramss45@gmail.com
Kutoka tweeter;
Kwa wale wanaotaka kushiriki na kuongeza nguvu ktk kampeni zetu za CHADEMA Vijibweni-Kigamboni wasilianeni na:Kilewo 0714225960/0756091748
Ardhi, Maji na Ajira kuamua Ubunge Arumeru Mashariki
Uchaguzi wa Ubunge Arumeru Mashariki ni kipimo cha namna wananchi mnavyoridhika na watawala, namna mnavyoridhika na mgawo wa Ardhi na namna mnavyoridhika na mgawanyo wa Maji katika Wilaya yenu. Haya yalikuwa baadhi ya maneno yangu katika...
Habari zenu wakuu,imekua ni jambo la ajabu sana kua unaweza kuona baadhi ya wanafunzi huwa wanafaulu karibu mihula yote wanayokuaga darasani na vidato mbali mbali lakini inakuaga vigumu sana wanafunzi hawa kufaulu form4 au form6 hata kama wanaakili au hufaulu kwa wastani basi wakifika form4 au...
Habari zenu wakuu,imekua ni jambo la ajabu sana kua unaweza kuona baadhi ya wanafunzi huwa wanafaulu karibu mihula yote wanayokuaga darasani na vidato mbali mbali lakini inakuaga vigumu sana wanafunzi hawa kufaulu form4 au form6 hata kama wanaakili au hufaulu kwa wastani basi wakifika form4 au...
I mite be a cat/machine/human or any asset but as long as I live in TANZANIA I bliv I nid a change in my country,and it shud start within us..I bliv am in the right place...I av been reading this forum fo years now but I bliv ths I high tym that I join my contribution..I know 2getha we can and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.