Sema ukilelewa na mama mjinga mjinga. Wengine tumelelewa na mama peke yake lakini mwenye kujielewa na uwezo wa kucheza vizuri 'father figure' na hakika hata pengo la Baba halionekani kwenye tabia na mwenendo kwa ujumla wake
Inaonekana hujapita kabisa eneo hilo
Ila kwa ufupi kuna kituo kikubwa sana cha ukaguzi wa magari eneo Karibu na ilipo mizani...Na kuna wakati wanakuwapo Askari wa kutosha wanaoletwa na coaster kabisa ya PT
Chama chenye miaka zaidi ya 30 kinachoshikilia dola...chenye kujigamba kuwa Na wanachama zaidi ya Million 8 walioiva kiitikadi...chama kilichojengwa katika misingi ya TANU (Hivyo kuwa Na uzoefu wa zaidi ya miaka 50).....kinapofikia kuhalalisha udhaifu kwa kujilinganisha na chama cha "juzi"...
Nimenunua viwanja Mradi wa viwanja Mvomero na agizo juu la kulipa hiyo 10% tena kwa akaunti rasmi ya Halmashauri inayojulikana kama "DED Mvomero Miscellaneous"
Ninaposoma hii thread unajikuta niko confused maana hiyo 10% niliyolipa kwa Jan ni hatari
Najaribu kuwaza
1. Taasisi za serikali funga akaunti zote na bank
2. Fukunyua za zamani hakikisha zote zimerudi
3. Aliyekuwa waziri mkuu akalazimika kutoka kama mjumbe wa Bodi akihofu labda yeye ndiye Yona kwenye meli
4. Nini kinafuata??
Alamsiki
Kaka majuu gani wanakojifunika na majani? Bagamoyo na Kibaha au??
Kama ni ile majuu tuliyozoea ya US na UK and the likes huko zaidi ni fixed camera na toll stations ambazo ni sawa na hizi huku kwetu madereva wanaita "mahakama"
RPC Mambosasa anastahili nishani ya utumishi uliotukuka
Katika serikali hii ni ngumu sasa kuwa na ujasiri kama alionao Mambosasa na kuthubutu kusema DC kavunja sheria (kajichukulia sheria mkononi).
Bila shaka atakuwa safe maana wa Mwisho kuthubutu kuita nyeusu nyeusi (na si nyeupe...
Me kwa kweli nakumbuka sana vinyimbo na matangazo zaidi
Tangazo la Kiwi la asubuhi saa 12....nikilisikia ulikuwa kero tupu maana liliashiria dalili zote za kuchelewa namba shuleni
Naanzaje kusahau wimbo/tangazo la Tanesco "Peleleza bwana Umeme?"
Au naanzaje kusahau tangazo la ile shule ya...
Hapo Ukulima wa Kisasa huwezi sahau ule wimbo pendwa "shambani x3 mazao bora shambani. Tusikae mitaani, taani wananchi tukalime, mazao bora shambani wananchi tukalime"
Nimejiuliza sana swali hili pia. Kuna mtu amesifia wimbo Ila akaponda video mbovu. Sikutaka kukubaliana nae kwa kuwa natambua video kwa mtu mwenye akili timamu sio tu kuuweka wimbo lwenye muoekano bali kuitumia kufikisha ujumbe Fulani uliojificha
Naamini iko maana na itaeleweka ikiwa pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.