Pole sana sijui nikushaurije ila mwombe Mungu akusaidie sana...unaweza kukimbilia kwa watumishi wakubwa kumbe hata yule mchungaji wa hapo kijijini kwenu anaweza kukusaidia vizuri tu.
Ushauri wangu mtafutane ndugu mkae chini mjadiliane na kisha nyie wenyewe ndio mumwombe Mungu kwa pamoja na...
Wanyakyusa wengi ni walokole.....kwanza kumwombea mnyakyusa pepo alipuke sio rahisi ni shughuli kweli kweli kwasababu wengi wao wanasumbuliwa na mapepo ya mamizimu hayatokagi kizembe ndio maana watumishi wa kule wamesimama...wanyakyusa wanamazindiko makubwa ndio maana mizimu yao ni mikali...
Huijui kenya vizuri..vya kwenye Tv visikutishe,kwanza ni wakabila hatari, huyo raila ni mjaluo wa kenya, halafu kingine poverty ni kubwa kwao kuliko Tanzania..kumiliki ardhi kenya ni ndoto
Humo makanisani,ibada zinaonhozwa kilugha....ipende nchi yako..ya kwenye tv ni karanga za kuonjeshwa tu
Umempa mwenzako ushauri wa kumwangamiza...wachawi ni wabaya na wakatili kuliko majambazi ....wanaua watu baki na ndugu za wa damu..wanaroga,,wanafanyaga mauzinzi wao kwa wao, Kwa kweli ushauri wa wazazi wake ndio wa muhimu
Unataka kujifunza kutengeneza siki ya mbilimbi au pilipili ya mbili
Siki kwa kingereza ni vinegar ambapo utengenezaji wake unatumia mida mrefu kidogo..waliosoma oxidation na fermentation wanaelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.