Mizimu na madhababu za Ukoo inatesa Maisha yangu

WatesiWETU

Senior Member
Jan 2, 2022
106
246
Wana Jamii naombeni msaada mtaalamu wa kuvunja mizimu na madhabahu za Koo za Kichaga.

Mimi ni mwanaume wa miaka 33, Mchaga wa Kilema, Mlo,

Lakini chagamoto kuu ni kushikiliwa na Madhababu ya Ukoo, ingawaje tangu nimezaliwa sikuwahi shiriki kwenye matambiko maana tulikulia mjini na baba alikuwa msomi hivyo hakuwa mtu wakushiriki mambo ya matambiko ingawaje naambiwa katika ujana wake alikuwa akishiriki maana ilikuwa ni lazima kwa mambo yakilimila na kwa kifupi kwenye ukoo wetu matambiko yalisha stop miaka zaidi ya 40 iliyopita.

Hata hivyo, naambiwa ule ukoo wetu ulikuwa una Matambiko na mizimu yake ilikuwa ina nguvu sana, inasemekana ilikuwa wakikosea masharti lazima mtu afe au matatizo makubwa yatokee.. Ingawa baadaye miaka ilivyo enda vizazi vipya akina sisi hatukuja kufuatilia tena na wengi wetu tulikuwa wasomi.

Kilicho nileta kwenu nikuwa , Ukoo umekuwa ukipuputika kwa magonjwa ya kufanana yaan ni sukari na mbaya zaidi Wengine huwehuka . tume wapoteza wazee wote kwenye ukoo, baada ya kumalizika watu wa makamu wote tumebaki vijana kila kaya kwenye ukoo kuna vijana tu.. sasa shughuli ni kila anayepata kazi nzuri ya elimu yake anafukuzwa kwa style ile ile utadhani maboss wanajuana kumbe ni mikoa tofauti sector tofauti, na ukishafukuzwa hupati tena kazi hata ufanye maombi kwa makanisa yote, sasa kila tunapo enda kwenye maombi kwa nyakati tofauti tena kila mtu katika mkoa wake..watumishi wamekuwa wakitwambia tunafutatiliwa na mizimu.. yaan story ni hizo hizo.. hivi ninavyo andika sasa nina miaka 7 tangu nifukuzwe kazi bila kosa na kila ninacho fanya hela yote inapotea biashara haziendi , mbaya zaidi tangu mwaka 2015 nilipofukuzwa kazi mpaka leo nisha apply makampuni mengi lakini siitwi na ikitoke ukaitwa ukafanya interview itaenda mpaka mchujo wa mwisho, na nitaitwa kwemye negotiation ya mshahara vizuri kisha uta ambiwa nenda tutakwambia siku yakuanza kazi.. yaani hapo ndio inakuwa imetoka ukija kufuatilia wenzako unakuta wameitwa kazini siku tatu tu baada ya interview.. hii imetokea mara nyingi sana. Yaan unaapply mara 100 mpaka hata mara 200 kwa mwaka huitwi.. lakin kama ikitokea ukaitwa wale Panalist au maboss wanao kufanyia interview wanakufurahia sana na unaona wanashangaa kwanini umekaa muda mrefu bila kazi na uwezo unao(hapo unakuta umeonekana umewashinda wenzio kwa uwezo wa interview na kujibu mswali yao).. lakin baada stage ya mwisho, unashangaa bila sababu kaajiriwa mwingine.

Jambo lingine ni Vijana wote katika ukoo hawa owi.. yaan mahusiano haya kai ni kuachan na maugovi kila mara, na ukijitahidi ukafikia hatua ya kuoa, hiyo vita na huyo mwanamke uta tamani ndoa ivunjike mwenyewe, hata ndugu wenyewe kwa wenyewe kuna msimu unafikia wanalipuka maugomvi hadi damu zina mwajika mapanga ngumi haziishi.

Hivyo naombeni wachaga au makabila mengine yenye kujua jinsi ya kumpata mtumishi mwenye nguvu na sifa za kuvunja madhabahu za ukoo na mizimu kuodolewa katika koo ikafungiwe kuzimu, angalau tupate amani, anisaidie..maana nimezunguka kwa watumishi wote wakubwa katika tanzania hii yaan listi yangu inaonyesha nimesha tembelea watumishi 23 mpaka sasa wote wakubwa mnao wajua dar es salama hii.. na wote wanaona tatizo ni hasira za mizimu kutaka tuka isujudie kwa kuanza kuichinjia.. na mimi nimepambana miaka yote kuikataa kusujidia mambo yalio fanywa na mababu zangu.. naitaji Mungu wa kweli ingawaje nasali sana ila nashangaa sana hili swala limeendelea kuwa zito na miaka inaenda, wenzangu nilio soma nao wamesha oa, wana kazi nzuri na watoto na baadhi washa jenga. ila mm ndio kama vile naanza maisha kila siku bila mafanikioa.

Tafadhali kama una jua mtaalamu wa kuvunja roho za mizimu na madhababu ya mababu.. unipe connections.

Asanteni
 
Pole sana sijui nikushaurije ila mwombe Mungu akusaidie sana...unaweza kukimbilia kwa watumishi wakubwa kumbe hata yule mchungaji wa hapo kijijini kwenu anaweza kukusaidia vizuri tu.

Ushauri wangu mtafutane ndugu mkae chini mjadiliane na kisha nyie wenyewe ndio mumwombe Mungu kwa pamoja na atawavusha. Maombi ya ndugu yana nguvu
 
Wana Jamii naombeni msahada mtaalamu wa kuvunja mizimu na madhabahu za Koo za Kichaga.

Mm ni mwanaume wa miaka 33, Mchaga wa Kilema, Mlo,

Lakini chagamoto kuu ni kushikiliwa na Madhababu ya Ukoo, ingawaje tangu nimezaliwa sikuwahi shiriki kwenye matambiko maana tulikulia mjini na baba alikuwa msomi hivyo hakuwa mtu wakushiriki mambo ya matambiko ingawaje naambiwa katika ujana wake alikuwa akishiriki maana ilikuwa ni lazima kwa mambo yakilimila na kwa kifupi kwenye ukoo wetu matambiko yalisha stop miaka zaidi ya 40 iliyopita.

Hata hivyo, naambiwa ule ukoo wetu ulikuwa una Matambiko na mizimu yake ilikuwa ina nguvu sana, inasemekana ilikuwa wakikosea masharti lazima mtu afe au matatizo makubwa yatokee.. Ingawa baadaye miaka ilivyo enda vizazi vipya akina sisi hatukuja kufuatilia tena na wengi wetu tulikuwa wasomi.

Kilicho nileta kwenu nikuwa , Ukoo umekuwa ukipuputika kwa magonjwa ya kufanana yaan ni sukari na mbaya zaidi Wengine huwehuka . tume wapoteza wazee wote kwenye ukoo, baada ya kumalizika watu wa makamu wote tumebaki vijana kila kaya kwenye ukoo kuna vijana tu.. sasa shughuli ni kila anayepata kazi nzuri ya elimu yake anafukuzwa kwa style ile ile utadhani maboss wanajuana kumbe ni mikoa tofauti sector tofauti, na ukishafukuzwa hupati tena kazi hata ufanye maombi kwa makanisa yote, sasa kila tunapo enda kwenye maombi kwa nyakati tofauti tena kila mtu katika mkoa wake..watumishi wamekuwa wakitwambia tunafutatiliwa na mizimu.. yaan story ni hizo hizo.. hivi ninavyo andika sasa nina miaka 7 tangu nifukuzwe kazi bila kosa na kila ninacho fanya hela yote inapotea biashara haziendi , mbaya zaidi tangu mwaka 2015 nilipofukuzwa kazi mpaka leo nisha apply makampuni mengi lakini siitwi na ikitoke ukaitwa ukafanya interview itaenda mpaka mchujo wa mwisho, na nitaitwa kwemye negotiation ya mshahara vizuri kisha uta ambiwa nenda tutakwambia siku yakuanza kazi.. yaan hapo ndio inakuwa imetoka ukija kufuatilia wenzako unakuta wameitwa kazini siku tatu tu baada ya interview.. hii imetokea mara nyingi sana. Yaan unaapply mara 100 mpaka hata mara 200 kwa mwaka huitwi.. lakin kama ikitokea ukaitwa wale Panalist au maboss wanao kufanyia interview wanakufurahia sana na unaona wanashangaa kwanini umekaa muda mrefu bila kazi na uwezo unao(hapo unakuta umeonekana umewashinda wenzio kwa uwezo wa interview na kujibu mswali yao).. lakin baada stage ya mwisho, unashangaa bila sababu kaajiriwa mwingine.

Jambo lingine ni Vijana wote katika ukoo hawa owi.. yaan mahusiano haya kai ni kuachan na maugovi kila mara, na ukijitahidi ukafikia hatua ya kuoa, hiyo vita na huyo mwanamke uta tamani ndoa ivunjike mwenyewe, hata ndugu wenyewe kwa wenyewe kuna msimu unafikia wanalipuka maugomvi hadi damu zina mwajika mapanga ngumi haziishi.

Hivyo naombeni wachaga au makabila mengine yenye kujua jinsi ya kumpata mtumishi mwenye nguvu na sifa za kuvunja madhabahu za ukoo na mizimu kuodolewa katika koo ikafungiwe kuzimu, angalau tupate amani, anisaidie..maana nimezunguka kwa watumishi wote wakubwa katika tanzania hii yaan listi yangu inaonyesha nimesha tembelea watumishi 23 mpaka sasa wote wakubwa mnao wajua dar es salama hii.. na wote wanaona tatizo ni hasira za mizimu kutaka tuka isujudie kwa kuanza kuichinjia.. na mimi nimepambana miaka yote kuikataa kusujidia mambo yalio fanywa na mababu zangu.. naitaji Mungu wa kweli ingawaje nasali sana ila nashangaa sana hili swala limeendelea kuwa zito na miaka inaenda, wenzangu nilio soma nao wamesha oa, wana kazi nzuri na watoto na baadhi washa jenga. ila mm ndio kama vile naanza maisha kila siku bila mafanikioa..

Tafadhali kama una jua mtaalamu wa kuvunja roho za mizimu na madhababu ya mababu.. unipe connections.

Asanteni

Mkuu umeshawahi kufanyanyiwa kitu kinaitwa Deliverance
Ebu kwa uzoefu wangu was Mambo ya kiroho nahisi hiyo ni Laana Mkuu.

Seek spritual Assistance as to break curse , nawaza nikutumie kitabu usome uone unaanzia wapi lakini hiyo ni Laana Mkuu.
 
Nisha sali madhehebu yote matano .. na kasasa nime ishia kuokoka niko leo kwa Mwamposa, kesho kwa Suguye kesho kuwa kwa Kuhani Musa, kesho yake kwa Muliri kinondoni .. na hata kwa Makongo kwa Mtalemwa .. yaan kwa sasa na cheza n TAG churches maana Roma, Lutheran, Sabato na Angalina wameshindwa..
Laana Mkuu hiyo ndo inakusumbua
 
Pole sana, haya mambo yapo na unaweza kuta yupo mtu mmoja kwenye ukoo wenu ndio kashikilia hayo madudu na anafurahia mateso yenu kwani yeye hana cha kupoteza kabisa na anajua hata afanyeje yeye mafanikio yake yamefikia ukingoni kwahiyo anatafuta mfanane wote.
Kitu unaweza kufanya, kaaeni wote vijana, tafuteni asili yenu ilikuwa wapi, mishaipata mtajua nani aliachiwa maagano, jifanyeni mnataka kuyaenzi hayo maagano, akishajitokeza tu muombeni amrithishe mmoja wenu halafu hapo ndio mtapata nafasi ya kwenda kuwatupa.
 
Kwanini kuwa na laana tu za ukoo na sio mafanikio ya ukoo? Asili yetu wote ni hizi koo ambazo zimetokea kwenye miungu kabla hawajapokea Ukristo. Hata walipopokea Ukristo haikuwa rahisi kuwatoa kabisa kwenye imani hizo na zinaendelea hadi leo pamoja na kuelimika kijamii na kidini!

Kama unamuamini Kristo na umebatizwa unafutiwa dhambi hadi ya asili ile aliyotenda Adam na Eva nini laana za babu zako? Otherwise kazi ya msalaba ni bure!

Ndio kwa msalaba tumekombolewa lakini dhambi zipo, laana zipo kwa atayeenda kinyume na wokovu aliopokea! Pia matokeo ya dhambi na laana hazikufutwa mfano kuzaa kwa uchungu, ardhi kulaaniwa, magonjwa n.k hivyo hata familia kuwa na maradhi yanayofanana ni swala la kitabibu ili kama ni kisukari basi kwa ufahamu huo wewe ishi maisha ya tahadhari dhidi ya kisukari na hapo kufunga na kuomba sijui kukanyaga mafuta utasumbuka na kufikiria Mungu wako hana nguvu!

Issue inayohusisha mapepo exorcist atakusaidia ni vizuri kwenda kwa Padre/mchungaji aone kama ni case ya pepo ( ndio mizimu hiyo pia) Otherwise mambo mengine ni mambo ya kitabibu.

Hayo yote muhimu ni kuishi kitakatifu, shiriki Misa/ibada na kupokea Ekaristi mara nyingi unavyoweza. Fanya kitubio/ toba mara nyingi ili uwe katika neema na kuepuka mashambulizi ya kiroho. Ukiishi namna hii kaa kwa amani na kuamini Yesu yupo na wewe.
 
Tatizo unaangalia wachungaj na makanisa ila umwangalii Yesu kama bwana na mwokoz wako ambae ungempata hata kwa kuikana nafs yako ukiwa ndan ya nyumba yenu ukifunga na kusali.. sio kila mikono ya wachungaj inapaswa kua juu ya kichwa chako sanyingine Mungu anataka ww ujipambanie pekeyako ndipo utakapo mwona.. By the way mm n mchaga najua unachokiongea na kukiptia ila mkicheza ua kinawafuta kabsa kwenye raman ya dunia
 
Back
Top Bottom