Wakubwa nataka kuchukua mkopo,ebu nitajieni interest rate za mabenki yetu kwa sasa hili nijiunge nayo kwa lengo la kuchukua mkopo,personal loan!
1.CRDB
2.Standard Charted
3.Barclays
4.Azania Bank
5.BOA
6.NBC
7.Stanbic
8.FBME
9.TPB
10.DTB
There are currently 626 users browsing this thread. (144 members and 482 guests)
Karhumanzira,
Sigma,
SILENT ACtOR,
Pweza Dume,
Babuyao,
Tanganyika2,
kupeng'e,
Mtanzania haswa,
Jagermaster,
tru rasta,
A. D. Pigangoma,
Wings,
skendo,
ng'hily,
Janja PORI,
morio,
kilewo,
punainen-red,
Bettina...
Kwa wakazi wa kigamboni tulikua na:
1.Nanga FC hapa nyota alikua kachupa
2.Shabab-hapa nyota alikua Mwishee na brother yake aliwahi chezea simba
3.Tipper FC-Hapa star alikua Deo Lucas(aliwahi chezea yanga)
4.Mzizima FC
Habari Mama Tibaijuka,
Kuna vigogo wa serikali wanamiliki ma-estate bila kuendeleza na kutuachia mapori tu, sheria ya ardhi inasema mtu akimiliki eneo kwa miaka mi3 bila kuendeleza ananyang'anywa, mbona hawa watu haufanyi hivyo? Tunawaomba uwaambie wayasafishe wanatujazia mapori tu huku.
Ni binti mdogo wa Snoop aliyezaliwa miaka ya 2000,ameanza vizuri na ngoma yake aliyeiachia mwanzoni mwa october mwaka jana 2011 "Do My Thang",Je atakuja kumdhibiti Willow Smith?
Habari wadau,
Ninataka kujenga kaghorofa kadogo tu na kiwanja hakijapimwa,kipo bunju,je utaratibu ukoje? Nijenge tu bila kupima? Je nikaombe kibali cha ujenzi hata kama kiwanja hakijapimwa? Au hairuhusiwi kujenga kama kiwanja hakijapimwa? Au unaweza kujenga tu hata kama kiwanja hakijapimwa sema...
1.Wadau nauliza nitajieni kwa kiingereza nataka kuipanda,na itachukua mda gani hadi kufika kimo cha futi 5
2.Pili kuna miti inaitwa Royal Palm inachukua mda gani hadi kufikia futi 6?
Mnijuze nataka kuipanda kiwanjani kwangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.