Wakuu nina swali.
Simu yangu ni itel S11 siku hizi inaisha umeme haraka sana. Je, nikinunua betri yake mpya na kuichaji mpaka full, itakuwa imesaidia, yaani inaweza kukaa kwa muda mrefu kama ile ambayo imekuja na simu ikiwa mpya?
Habari zenu wakuu natumai mu wazima wa afya.
Ombi langu kama hapo juu ni kwamba nilikuwa naulizia mahali ninapoweza kupata duka liuzwalo vitabu vya fasihi za kiswahili hasa za kipindi hicho maana nilizipenda sana ila vingine alivyonunua mzee wetu vilipoteapotea.
Nilikuwa natamani vitabu kama...
Habari zenu wakuu naimani my wazima. Nilikuwa naomba mwenye link ya video ya nyimbo hiyo hapo juu, maana nimehangaika kuitafuta mitandaoni na YouTube zipo fupifupi na Mimi nilikuwa naitaka ile ya long version.
Natanguliza shukrani zangu wakuu.
Natumai mu wazima wakuu na wikiendi.
Wakuu, ndugu yangu ana simu aina ya Tecno Spark K7. Shida yangu ni kwamba kwa muda mrefu hii some imekuwa utumiaji wake unakuwa too slow yaani unabonyeza app fulani mpaka kufungua inatumia muda mrefu na mara nyingine mpaka nireboot ndio kidogo sio sana...
Habari za leo wakuu, naombeni kufahamu namna ya kusearch mada kwenye JamiiForums, yaani labda nakumbuka jina la topic humu halafu nataka niipate mnafanya vipi?
Shukrani.
Habari zenu wakuu,
Niende kwenye swali moja kwa moja. Naomba kuuliza wenye uzoefu wa ku-purchase PC games kutoka katika steam account HV ukishafanya mwamala wote ule wa kununua game, inakuwa inajidownload yenyewe na kujiinstall au ukishainunua uwe tena nankifurushi cha kuidownloas na kuinstall...
Habari wanajamvi niende kweny mada, nimefungua account mpya facebook sasa naombeni msaada wa kufuta ile ya zamani kama inawezekana......yaani kuiondoa kabisa. Natanguliza ahsante na shukrani.
Habari zenu wakuu. Niende kwenye mada; naombeni kujua namna ya kuunganisha padi ya ps3 kwenye laptop ili nicheze games za Psp maana nishadownload app ya ppsspp na kuinstall.....Natanguliza shukrani
Wapendw wakuu humu ndani naiman wote mu wazima mkiendelea na majukum ya kila siku. Ombi langu naomba wnaoweza kunipatia au kunionyesha sites ninazoweza kupata vitabu hivyo iwe lugha ya kiswahili ama hata vya kiingereza.
Pia kama mtu anavyohumu anaweza akaturushia. Natanguliza shukrani......
Habar zenu wakuu. Naombeni namna ya kuhack coins, stars, money etc bila ya kuroot simu yangu. Mnatumia njia au app gani? Shukrani.... cc Chief Mkwawa and......
Salaam wakuu, naombeni msaada wimbo wa extra bongo wa kitambo kidogo una maneno haya..."extra bongo wana bongo, sisi sote tuko fiti tunajinafaasi ooh ooh mama..."
Nimeutafuta bila mafanikio google. Natanguliza shukrani zangu.
Wanajf, mimi in mpenz sana was filamu za kihindi classics yaani nikimaanisha miaka ya kuanzia 50s to 90's. Nimekuwa nikitafuta sites zake lakini sizipati, YouTube huwa zimo tele lakini km mnavyojua filamu zake nyingi zinakuwaga wamezikata yaani sio full length yake. Naombeni km kuna mnaojua...
Wapendwa habari, naombeni kuuliza. Katika suala la kutoot simu za kuanzia version 6.0 zinatumia pc. Na maelekezo yote yapo na pia wanasema uwe umewasha network. Sasa je km ni mtu anayetumia android phone yake km modem aingiapo internet kwenye pc, je network haitaweza kukata simu inapoanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.