mkhande95
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 308
- 178
Wapendwa habari, naombeni kuuliza. Katika suala la kutoot simu za kuanzia version 6.0 zinatumia pc. Na maelekezo yote yapo na pia wanasema uwe umewasha network. Sasa je km ni mtu anayetumia android phone yake km modem aingiapo internet kwenye pc, je network haitaweza kukata simu inapoanza kujireboot kwny hiyo process ya rooting? Natanguliza shukrani zangu.