Msaada: Simu ipo slow sana, tatizo nini?

mkhande95

JF-Expert Member
Aug 9, 2019
308
178
Natumai mu wazima wakuu na wikiendi.

Wakuu, ndugu yangu ana simu aina ya Tecno Spark K7. Shida yangu ni kwamba kwa muda mrefu hii some imekuwa utumiaji wake unakuwa too slow yaani unabonyeza app fulani mpaka kufungua inatumia muda mrefu na mara nyingine mpaka nireboot ndio kidogo sio sana inapungua lakini uslow uko palepale.

Tulijaribu kureset simu lakini bado tatizo liko.

Je, nini inaweza kuwa tatizo na nifanye nini, simu haina tatizo lingine bado nzima.

Natanguliza shukrani kwa msaada wenu.
 
Kama unatumia sd card itoe jaribu kutumia memory ya simu tu.. Cha pili futa apps ambazo sio za muhimu kwako, picha, videos na miziki.. Cha tatu uwe una clear used apps mara kwa mara.. Kama ukizingatia hatua hz hutasumbuka na cm yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unatumia sd card itoe jaribu kutumia memory ya simu tu.. Cha pili futa apps ambazo sio za muhimu kwako, picha, videos na miziki.. Cha tatu uwe una clear used apps mara kwa mara.. Kama ukizingatia hatua hz hutasumbuka na cm yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuu, nitajaribu kufanya hivyo
 
Hizi Spark series zitakuwa na shida flani,mimi nina Spark 9 nayo inasumbua hivyo hivyo,najua solution hapo ni kufanya factory reset,sasa nikifikiria kuanza nayo moja kuna vitu vingi nitapoteza wacha tu niwe mpole...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu, maana mimi pia nilisha reseat lakini haikusaidia...
 
Mkuu hebu toa maelekezo ya kutosha uokoe wengi maana hata mm tatizo hili lipo kwenye samsung j1 yangu. Hizo used apps nazikiclear namna gani? Maelezo tafadhali.

Halafu simu nyingi zina memory ndogo mno; sasa ukitoa sd card itakuwaje?
Kama unatumia sd card itoe jaribu kutumia memory ya simu tu.. Cha pili futa apps ambazo sio za muhimu kwako, picha, videos na miziki.. Cha tatu uwe una clear used apps mara kwa mara.. Kama ukizingatia hatua hz hutasumbuka na cm yako

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom