Kweli kabisa, mda mwingne inabid wati waache kuwasikiliza hao wanaojihita wasomi sasa kwe upande wa sabuni inahitajika research ya nn ya soko, soko la sabuni ni pana sana na nirahisi sana mradi tu uwe na product nzuri, soko kubwa kwanza ni mtaani kwako au mji wako, anza na vile tuviduka vya kina...
Ila tanga kwa uchawi kiboko duh, niliwah fika maramba,kijiji loko dah ebhn watu wakule wanapenda na kuendekeza uchawi kama kula vile, ndio mana ht maendeleo hakuna vijumba vya udongo ving mpk karne hii, wakat ukitembea vijiji vingi bara huwez kuta vijumba vya udongo ving km tanga aisee
Tena kwe kilimo aingie kwe bustani ni aina ya kilimo cha mda mfupi na hakina gharama kubwa ya uendeshaji wake , mazao yke kama, bamia, nyanyachungu, pilipili hasa za mwendokasi, au mboga mboga za majan, hiz akitulia itamsogeza seheme, chakuzingatia mfn km izo bamia, nyanyachungu,pilipil alime...
Habar wana JF
Nauza vifaa au manual mashine, vya kupukuchulia mahindi, (hand maize corn sheller)kwa wakulima wadogo
wa mahindi
Badala ya kutumia mikono,au visu au njia ya kupiga na magongo mahind sasa waweza tumia hiki kifaa,
Unauwezo wa kupukuchua gunia la debe 6,7 ndan ya lisaa tu.
Mahindi...
Yea ni kwel kuna weusi wenzetu ndio shida sbb km wanatoa 15k per day, weus wenzetu wanakupa 10k per day, afu kazi ngumu kinoma, kimazingira, maladhi nk. Iliinabidi muheshimiwa afikishiwe maana watu wanadhulumiwa sbb ht wachina wenyewe hawalifaham hil, na sio huko tu kwe miradi ming sana na sehm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.