Heshima wana MMU, nimewamisss Sana baadhi ya members hapa: Lara 1, Preta na miss chagga. Aliye karibu na Moshono lounge apitie counter Kuna chupa ya double black.
Mradi huu ulizinduliwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya nne, mh Dr. J. M. Kikwete na aliyekuwa waziri wa ujenzi na mgombea urais, mh Dr. J. P. Magufuli. Mradi ni sehema ya ujenzi wa Namanga - Taveta - Voi highway. Kinachonisikitisha ni kuwa mpaka sasa hakuna hata sentimita moja ya lami...
Nimejaribu kununua simu onlin kupitia mtandao wa Jumia pila hata kuijua vizuri hiyo simu. Simu yenyewe ni Startimes Planet 5. Mwenye ufahamu wa hii simu anijuze maana jamaa wapo serious na kesho kutwa inaletwa ofisini.
Tangu juzi decoder yangu ya dstv imeniletea mauzauza. Haioneshi chochote kuna kataa kanjano kanawaka. Decoder ni DSD 3 U. Mwenye ufahamu anisaidie maana dstv wameniambia nizime na kuwasha na nimefanya hivyo mara kadhaa. Napitwa na habari
Kwa mujibu wa waziri mwenye dhamana ya kazi na ajira, mama G. Kabaka, serikali inaanzisha mfuko kwa pension kwa wafanyakazi watakao umia wakiwa kazini. Mfuko huo utakuwa ukitoa matibabu kwa wafanyakazi wote wa sekta ya umma na sekta binafsi. Serikali itakuwa ikchangia 0.5% ya total wage bill...
Nime bahatika kuwa mmoja wa waalikwa katika NSSF GALA usiku huu hapa mt. meru hotel arusha. Pamoja na mambo mengine, zimetolewa zawadi kwa best complying employer. Katika secta ya viwanda mshindi ni kiwanda cha saruji cha dangote cha mtwara. Swali langu ni je kiwanda hiki kimesha anza uzalishaji...
Wakuu salamu kwenu na poleni kwa majukumu mazito ya ujenzi wa taifa. Katika somasoma yangu nimekutana na hii kesi ambayo was referred to as the longest civil case in Tanzania.
Naomba yeyote mwenye taarifa, historia na hata hukumu ya kesi hiyo anijuze vizuri. Asanteni sana
Hiyo namba ukipiga jiandae kuumwa sikio, kuishiwa vocha au hata chaji. Customer care gani mteja amakaa online nusu saa simu haipokelewe? Ni bora hiyo namba isiwepo mnatuchosha wateja bure tuu.
Cc: PR Officer tanesco
Wakuu nawasalimu wote na natumaini week end inamalizika vyema.
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la "utitiri" wa vyuo binafsi vinavyotoa elimu katika fani mbalimbali ikiwemo fani ya Ualimu.
Kumekuwa na vyuo vinavyojitangaza katika media mbalimbali kuwa vinatoa mafunzo ya...
Wizara ya elimu chini ya mkakati wa matokeo makubwa sasa " big results now strategy", imetoa mtihani wa kuwapima wanafunzi wa drs la 7. Mbali ya kuwa kuwapima wanafunzi, una lenga pia kupima ufanisi katika mbinu za kufundishia na kujifunzia. Naipongeza wizara kwa kubuni mkakati kama huo. Mbali...
Wakuu wataalamu wa computer naombeni usaidizi kwenye hili. Nikiwasha computer nakutana na msg hii: Window could notstart up because the following file is missing or corrupt: WINDOWS\SYSTEM\ vgaoem.fon
Wakuu habari za week end? Naomba kuelimishwa kuhusu utaratibu wa kuwa na bendera za mataifa mbalimbali kwenye hoteli zetu. Je ni wa kisheria na huukiuki taratibu za kidiplomasia? Unasaidia nini kwenye biashara ya hoteli husika na je ni nani anatoa idhini ya hoteli kuwa na bendera ya nchi fulani...
Wanajamii nipo safari na ninapita Same mjini na nimekuta mafuriko makubwa na mvua bado inaendelea kunyesha. Wanaoendesha njia hii wawe makini maeneo haya maana maji yanapita juu ya barabara.
Kumetokea ajali wami darajani. ajali imehusisha lori la mizigo na tanker la mafuta. Ajali imesababisha usumbufu mkubwa kwa abiria baada ya malori hayo kuziba daraja
Nawapongeza sana star tv kwa kuweka wazi kuwa tunaadhimisha miaka 50 ya uhuru wa TANGANYIKA. TBC wanaendekeza sera za ccm wameandika Uhuru Wa Tanzania bara nchi ambayo haikuwahi kutawaliwa kama koloni katika historia yake
Naomba nisaidiwe kutafsi maneno hafuatayo kwa lugha ya kiingereza:
i. ASTASHAHADA.
ii.STASHAHADA
iii. SHAHADA
iv. SHAHADA YA UZAMILI
v. SHAHADA YA UZAMIVU
Natanguliza shukrani
Heshima kwenu wana JF! Natumaini week end enakwenda vjema.
Vipi huyu bwana ex Tanzanian Ambassador to RSA mbona kila investment yenye mikono ya kaburu yeye lazima awe kwenye board?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.