Ni ndugu yangu kabisa mdogo wake mama kapata kazi sasa yuko kwenye training akaniomba kukaa na mm kwa muda..
Jana kamleta demu wake na wamefanya uzinzi kitandani kwangu. Nilimkataza
Nimemwambia anipe funguo nikiingia anaingia na nikitoka anatoka[emoji23]
Naombeni msaada. Nilinunua Pete moja kwa mmasai sasa niliivaa siku moja nilianza kuota ndoto za ajabu na siku iliyofata nilikutana na aliyekuwa x wangu kitu ambacho sikitegemea.
Je, kuna nguvu gani na nawezaje kujua aina ya Pete ninayotakiwa kuvaa isinisumbue?
Ukweli mchungu niende moja kwa moja kwenye mada..Ndugu zangu sikuwahi kuwaza kama kuna siku nitakuja kuona ndoa chungu ila kwa haya yanayoendelea najutaaa.
Mwanzoni kabisa nilipokutana na wife alinambia ameshakutana kimapenzi na mwanaume mmoja tuu na kwamba mimi ni wa pili. Sasa niliona kama...
Baada ya ndugu zangu kuonyesha wazi kuwa hawamtaki mke niliyemuoa nilikaa chini na mke wangu tukapanga jambo.
1. Tulikubaliana kujifanya tumegombana sana na kila mmoja ameridhia tuachane.
2. Tukaanza visa ili na ndugu waone sasa kuna mtoto wa shangazi yangu ambaye ni binamu wangu anakaa...
Nianze kwa kutanguliza salamu
Nina imani kubwa kuwa umesikia kihusu maswala yahusuyo nyota ya binadamu mara nyingi.Swali la msingi apa ni kuwa kuna uhalisia wowote katika hili.
Imani yangu ni kuwa hivi vitu havina uhalisia bali ni sisi binadamu tumejijengea mazoea tuu na mwisho wa siku...
Wasalam
Moja kwa moja kenye mada, Hivi unawezaje kumrudia mtu ambaye mliachana. Waza kwamba mhusika unaetaka kumrudia kapita na wangapi toka mmeachana. Kama mwanzo hamkuweza kukuza uhusiano wenu ni kipi kinakuwa hakikishia kuwa mkirudiana itawezekana.
Tuseme bado unampenda na yy ndio alikuacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.