Tairus
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 676
- 1,055
Baada ya ndugu zangu kuonyesha wazi kuwa hawamtaki mke niliyemuoa nilikaa chini na mke wangu tukapanga jambo.
1. Tulikubaliana kujifanya tumegombana sana na kila mmoja ameridhia tuachane.
2. Tukaanza visa ili na ndugu waone sasa kuna mtoto wa shangazi yangu ambaye ni binamu wangu anakaa kwangu. Nikamwambia mke wangu amfukuze beki tatu na alafu awe hapiki wala kufanya kazi yoyote. Atafanya huyu ndugu yangu.
3. Nikamwambia wife aanze kuchelewa kurudi na kama akitaka ale huko anakofanya kazi na mimi ntajua la kufanya.
4. Wife akirudi asiongee na mtu na mm ntafanya hivyo yaan tuwe kama hatuongei kwa wiki tatu. Na mimi ntakuwa nalewa kila siku.
5. Baada ya izo wiki tatu Wife asafiri kwao Morogoro nibaki mwenyewe. Huyu ndugu yangu atawafikishia habari.
6. Sababu hawamtaki na mimi nampenda wiki mbili baada ya Wife kusafiri kwao nawaambia ndugu zangu wote kuwa nimeachana na Wife.
7.Niliomba Uamisho mkoani. Dodoma na nimepata kwa hiyo nampitia Wife Moro kimya kimya tunaenda Dodoma na hakuna pimbi atakaa afike kwangu.
8. Mambo ni mengi. Leo siku ya pili tangu tumeanza mchakato wa kuokoa ndoa yetu.
#Tairus #Bella Ciao
1. Tulikubaliana kujifanya tumegombana sana na kila mmoja ameridhia tuachane.
2. Tukaanza visa ili na ndugu waone sasa kuna mtoto wa shangazi yangu ambaye ni binamu wangu anakaa kwangu. Nikamwambia mke wangu amfukuze beki tatu na alafu awe hapiki wala kufanya kazi yoyote. Atafanya huyu ndugu yangu.
3. Nikamwambia wife aanze kuchelewa kurudi na kama akitaka ale huko anakofanya kazi na mimi ntajua la kufanya.
4. Wife akirudi asiongee na mtu na mm ntafanya hivyo yaan tuwe kama hatuongei kwa wiki tatu. Na mimi ntakuwa nalewa kila siku.
5. Baada ya izo wiki tatu Wife asafiri kwao Morogoro nibaki mwenyewe. Huyu ndugu yangu atawafikishia habari.
6. Sababu hawamtaki na mimi nampenda wiki mbili baada ya Wife kusafiri kwao nawaambia ndugu zangu wote kuwa nimeachana na Wife.
7.Niliomba Uamisho mkoani. Dodoma na nimepata kwa hiyo nampitia Wife Moro kimya kimya tunaenda Dodoma na hakuna pimbi atakaa afike kwangu.
8. Mambo ni mengi. Leo siku ya pili tangu tumeanza mchakato wa kuokoa ndoa yetu.
#Tairus #Bella Ciao