hapo nyuma tuliwahi kujaza fomu za kuhakiki kadi zetu za Bima ya Afya nashangaa ukicheki kwa kutumia *152*00#jibu linalopatikana ni 'mchangiaji hajahakiki taarifa,tafadhali mfahamishe afanye hivyo harakaili kuepuka usumbufu' hija nikipi kilifanyika hapo awali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.