Walimu wana uvulivu na mengi hata Mavazi.
Tatizo unafananisha mwalm anayefundisha vitoto vya town vinavyokuja shule na chupa za maziwa na mijana dume ya maporini huko wanaokuja shule na nyembe zakunyolea ndevu.Habari za jioni Jf........
Asilimia kubwa sana ya walimu nguo tunazovaa kwakweli kuna muda ukikaa kumtizama mtu unacheka kimoyo moyo, mwalimu wa kike unakuta kavaa gauni panaaa linaishia katikati ya miguu sio fupi sio refu, kama ni sketi basi sehemu ya hips imezidi inakua kama nguo ya kuazima, chini sandals, koti oversize, wengine hadi na nywele twende kilioni......vivyo hivo walimu wa kiume shati bongee la shati mkono unashindwa kujua ni la mikono mifupi au mirefu, suruali buga (bwanga) mkanda haujulikani rangi, mkanda mrefu unazungushwa kama kanga... Hii ni kwa ufupi ila tuna mengi mno.
Walimu kwanini tunavaa hivi? Tumeshindwa kutofautisha kati ya haiba na kuwa smart?? Haiba ni kuvaa nguo oversize au lonya? Au ni akili tu tumezitune manguo ya ajabu ajabu ndo yetu? Sijui wanafunzi huwa wanawatuwazia nini...
Cha ajabu hata walimu wanafunzi nao wanakuja field nguo wanazovaa mmh, naishia kuwaza nnavowajua Wanachuo vivazi vyao wakiwa chuo, very smart wanakuja field utadhani ni watu wametoka vijijini, sketi imeungwa vipande saba yani ipo kama kabeji
Tujirekebishe jamani haiba sio kuvaa malonya
Kuna siku wanafunzi wangekubaka. Huwezi kuwafundisha wanafunzi wamedindisha, ningekuwa mm mkuu wako ningekuweka wazi hawa watoto wameshakuwa na wato.mbana hivyo ukivaa kuwatamanisha watadindisha na somo halitaeleweka.Hahaaaa!!! Yaani dota nilipoajiriwa nilipata shida sana, kila nguo ninayovaa mkuu wa shule ananiambia fupi mara inabana, damn!! Nikamuuliza unataka nivae kama mbibi au!!!
Sisi tulikuwa tunswachungulia walimu wakike wanaovaa vimini. Kuna ile michirizi ya utamu nyuma ya goti basi weeeeeeeeee, akiingia ticha wakiume watu hawaelewi kabisa, ukisikia ticha wakike kipindi kinaanza basi tukiwa mstarini tu watu wanaambiana leo michirizi ya utamumwanamke akivaa hivi anapendeza kinoma halafu na mguu uwepo duu basi huniuwa kabisa
Ww utakuwa ni brazamen, hao wasichana ndio useme wamevaa kiheshima?, hv unavaa suruali zenye linda na chini kbs znawekwa pindo?, mkuu naamin ww ni mwendo wa kadeti kali nyembamba flani halafu juu una tommy Matata imemodolewa , kheee haya bana.View attachment 491134 View attachment 491135.
Gauni za heshima na unaonekana smart, ila tunavopenda malonya sasa
Mm wakati nasoma mwalimu yoyote mwenye kimini hanipigi hata iweje, tulikuwa tunawadharau kupita maelezo. Ukivaa mini tunakuangalia michirizi ya utamu alafu tunamalizia kukutathmini na huko ndani kwenyewe ukoje.Maneno ya mwalimu mpya hayo, baada ya miezi mitatu utajua kuwa mshahara wa mwalimu ndio unaamua mavazi yake.
Kijijini na mini atakula busu akiinama akiinuka watu wanachekaasante natumaini upo mjini na siyo kijijini
Inategemea na mazingira, kuna shule ziko hovyo hatari. Huwezi kupiga mini na tope kianzia mlango wa nyumba yako hadi shuleni, ukiteleza tu mambo hadharaniEvelyn kiboko sana aiseeh nimejikuta nacheka kama mjinga, ila kama wewe ni mwalimu alafu ukawa na mavazi ya hovyo lazma utokwe povu kwasababu kiuhalisia ndivyo tulivyo huwa hatupendi kuambiwa UKWELI.
Sasa huyu atawafundisha wala chipsi yai sio wanakula udaga na dagaa wa kuchemsa daily. Watu wataomba ruhusa za kwenda toi darasa zima
Wow!Maana ya kuvaa Nguo ni kuficha uchi.
Dunia ya leo watu wanataka waione mitindo ya kuzimu inayochochea zinaa , ww mleta mada inawezekana ume tumwa na ibilisi, sii bure
Swala sio kuvaa kimini mkuu kinachotakiwa ni kuvaa nguo nzuri wawe smart, tatizo wanavaa manguo yasio eleweka wanaonekana wachafu, ila wakivaa nguo zao simple tuu zinazowatosha mbona watapendeza na kuonekana nadhifu kama watu wa taaluma zingine.Inategemea na mazingira, kuna shule ziko hovyo hatari. Huwezi kupiga mini na tope kianzia mlango wa nyumba yako hadi shuleni, ukiteleza tu mambo hadharani
Team lonya, team vi sempele mnakumbushwa kuwa nadhifu....
Mtoto akija shule mchafu utamsema hadi analia, nywele zake utazipitisha na mkasi, wakati muonekano mmefanana tofauti we ni mwalimu
WALIMU TUJIPENDE, TUWE NADHIFU
Hujakosea mi ni kidume cha mbegu ticha flani mwenye six packs zanguWw utakuwa ni brazamen, hao wasichana ndio useme wamevaa kiheshima?, hv unavaa suruali zenye linda na chini kbs znawekwa pindo?, mkuu naamin ww ni mwendo wa kadeti kali nyembamba flani halafu juu una tommy Matata imemodolewa , kheee haya bana.
unaonekana una stress sana za maisha tafuta mume uoleweHujakosea mi ni kidume cha mbegu ticha flani mwenye six packs zangu
Mhhhhh......sitoi nenoView attachment 491134 View attachment 491135.
Gauni za heshima na unaonekana smart, ila tunavopenda malonya sasa