GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,148
- 110,604
Napenda sana jinsi alivyo busy huko Wilayani Kwake Handeni Mkoani Tanga japo napatwa mno na ' ukakasi / wasiwasi ' kama ule ' Ulokole ' wake ninaojua bado anao au ameupumzisha kwa muda kwani kuna vitu vingine anavyovifanya huko hata Mwenyezi Mungu hapendi.
Nawasilisha.
Nawasilisha.