Habari wana JF
Huwa naumia sana pindi nionapo kiongozi wa CHADEMA pindi anapokamatwa awe na kosa au iweje haijalishi.
Mbunge wa ccm akihitajika police ni tofauti na wa CHADEMA huyu utadhani labda ni jambazi sugu.
tuliwahi kusuhudia kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chama akalala ndani na kupelekwa...
Wakuu tuwekane sawa kwa wanaoelewa hizi kata hapo awali zilikuwa na madiwa ni wa chama gani tuanze ya 1 mpaka ya 29.
ili baadae tujue nani kavuna kwa mwenzake.
haya wana JF tuanze.
1.Bangata-Arusha
2.Darajambili-Arusha
3.Msalato-Dodoma
4.Mpwapwa-Mpwapwa
5.Magomeni-Bagamoyo...
Naona kuna mhimili wa nne umekuja bila hodi Kibaya zaidi ni pale nnaposhuhudia huu mhimili kuwa na nguvu kuliko hii mingine Hapo awali kulikuwa na mihimili mitatu
1,Serikali/Rais
2,Mahakama
3,Bunge
Kwa sasa
4,Rushwa/Ufisadi
Naamini sitakosea nikisema huu una nguvu kuliko yote kwani wote...
zamani hii taasisi iliheshimika sana,mtu kuomba aiongoze alijiuliza maswali mengi kabla ya kuchukua uamuzi.
kwa bahati mbaya siku hizi chama cha mapinduzi kinaongozwa kwa hela na ili uchaguliwe lazima upenyeze kitu kidogo.kibaya zaidi yule anaemtangaza rais ni mtumwa wa ccm <kibaraka> viongozi...
Ngd zangu hii nchi ni yetu sote!je!? huu ujinga tutaufumbia macho mpaka lini? kwani ccm kwa sasa wameamua kuchezea pesa za wavuja majasho kwa huuujinga kwa sasa wameamua kufungua kesi za kupinga matokeo karibu kila konaili eti kupunguza nguvu ya ARUMERU fuatilia kila kesi inaendeshwa...
Wakazi wa manispaa ya Singida na maeneo ya jirani mnakaribishwa kuja kuwasikiliza makamandawatakuwa viwanja vya stand ya zamani Singida mjini.jitokezeni mje kuwasikiliza watu wenye nia ya dhati kuitumikia hii Nchi.kila atakaepata taarifa hii amujulishe na mwenzake.
mda ni saa 16:00
saa...
Magazeti mengi leo yametoka na habari kuwa
mwenyekiti wa taifa ccm anaundiwa mpango wa kumung'oa
ili wakinusuru chama chao ina maanisha hawana imani nae tena
je na sisi watanzania ambae hatuna imani nae tufanyeje?
na kama chama kimemshinda nchi ataiweza?
Na kama wana ccm wenzake wamekosa imani...
watanzania kila uchaguzi idadi ya wapiga kura inazidi kupungua
kibaya zaidi utawasikia wakidai mbunge wetu hatufai mara kairanja hana jipya
je kama we huendi kupiga kura unategemea nini?
muda wa masaa unajiharibia maisha ya miaka 5!
watanzania tubadilike tujiandikishe na tuone umhimu wa kupiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.