dhahabuinang'aa
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 134
- 28
Wakazi wa manispaa ya Singida na maeneo ya jirani mnakaribishwa kuja kuwasikiliza makamandawatakuwa viwanja vya stand ya zamani Singida mjini.jitokezeni mje kuwasikiliza watu wenye nia ya dhati kuitumikia hii Nchi.kila atakaepata taarifa hii amujulishe na mwenzake.
mda ni saa 16:00
saa kumi jioni
nawasilisha.
mda ni saa 16:00
saa kumi jioni
nawasilisha.