Kwa nini majina haya waliyokuwa wakipewa watoto wa kike baada ya kuzaliwa yamepoteza umaarufu wake miongoni mwa wazazi. Kipindi cha nyuma majina haya yalikuwa maarufu hata yaliweza kutungiwa nyimbo na baadhi ya bendi za kipindi hicho kama vile Less wanyika.
Ila kwa sasa majina haya ni kama...
Ndugu wanajamvi naomba mtu yeyote mwenye kuwa na mawasiliano (namba ya simu)ya hii kampuni ya FedEx anisaidie.
Nimejaribu kutumia namba walizoweka kwenye web yao naambiwa hazipatikani na namba moja ya mezani inaita tu bila kupokelewa. Msaada plz.
Hi, Great Thinkers,
Ndugu zanguni kuna binti mmoja ambaye ni rafiki yangu wa kawaida na nimefahamiana nae hivi karibuni, amenieleza kisa cha mtoto wake nikaingiwa na huruma sana nikakaona hebu niwashirikishe great thinkers ili kulipatia ufumbuzi jambo hili
Ishu yenyewe ni kuwa huyu binti...
Mhadhili msaidizi wa chuo kikuu cha Dodoma Mr DEOGRATIUS CAMERIOUS DUZU Amefariki jana tarehe 23/10/2012.
Chanzo cha kifo chake hakijafahamika, ila taarifa za awali zinaonyesha marehemu alianguka ghafla alipokuwa akiangalia mpira kati ya Chelsea na Shkahtar Donestky, alikimbizwa hospitalini...
Aman iwe juu yenu.
Jamani tafadhali tusaidiane kwa jambo hili:
Nimekuwa nikimkatalia jamaa yangu hapa kwamba huwezi ukakopi secured document lakini yeye akanikatalia kwa kigezo kwamba katika karne hii ya sayansi na technologia hakuna kinachoshindikana.
Kwa hali hiyobasi waungwana naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.