Kwema Wakuu
Naomba kujuzwa spare parts za hii gari tajwa NISSAN HARDBODY J83 ENGINE QD32 napata wapi za mtumba imported na spare used za hapa hapa bongo (maana spare used za hapa bongo ni cheaper kdgo hasa kwa wale wanao kata na ku scrap magari)
Currently nahitaji cutter out za alternator za...
Shallom / A.Salaam Aleykum
Husika na Kichwa Cha Habari Hapo Juu.
Nimekua interested na teknolojia ya ujenzi wa kitumia interlocking bricks kwani seems ina faida nyingi kuliko tofali za kawaida
1. Huokoa gharama za ujenzi i.e. Cement / Mchanga / Finishing.
2. Sehem yenye kupata material za...
Husika na Kichwa Cha Habari
Tunauza Nondo za Ujenzi Jijini Dar es Salaam
8 mm, 10 mm, 12 mm, 16 mm , 20 mm, 25 mm, 32 mm
Usafiri ni Bure Kuanzia Tonne 1 na Kuendelea
1 tonne - 12 mm (40 feet) - 92 pieces
1 tonne - 16 mm (40 feet) - 54 pieces
TUPO TUNAKUFIKIA:
Sinza / Goba / Goba Mpakani /...
Poleni na mapambano ndugu wana JF
Husika na kichwa cha habari
Katika pita pita zangu za hapa na pale wakuu nimeona nifanye biashara ya mkaa (ni wazo ila niko finishing stages ni execute idea)
Yani ninunue kwa wanaoleta mkaa mjini kwa jumla. Magunia kadhaa niyachane na kuuza reja na jumla...
Shallom / Asalam Aleykum
Husika na Kichwa Cha Mada Hapo Juu
Katika Pirika Pirika na Mbilinge Mbilinge Zangu Za Hapa na Pale, Mkoa Kwa Mkoa, Mtaa Kwa Mtaa kuzisaka nimekutana, kuona na ku experience changamoto nyingi nyingi sana ikiwamo kukosa wasimamizi bora wa biashara, kuibiwa, kudhulumiwa...
Husika na kichwa cha habari.
Well nina eneo liko mbele ya barabara ya lami maeneo ya Kijitonyama nataka kufanya pawe kijiwe cha kuuza magari used....about (300 sqm au 350 sqm).
Mwenye gari anaetaka uza anakuja ku park gari inakua sokoni tukiuza napata %, walengaji na walengwaji kama kawa...
Habarini Wandugu JF
To the Point
Kumekua na Dhana Kwamba Mtu kuwa dalali au kutaka kujihusisha na udalali ni lazima iwe kwenye viwanja / nyumba na Magari (magari ndio trend ya siku hizi) + ni kazi flani inadharaulika wakati majuu kuna watu millionaires in $ kwa udalali tu kwani hapa kwetu tuna...
Habari Zenu Wakuu
To The Point
Nimewaza kufanya biashara ya kununua magari mabovu ambayo aidha yamekua written off na insurance companies, kuboresha then kuyauza au kutumia kwa kuleta more returns (faida zaidi) lengo linakua ni kujipatia gari kwa gharama nafuu sana kuliko ningenunua jipya...
Habari zenu wakuu, Hope ur well
Nina fanya biashara ya car wash sinza....nimekua nikipata changamoto sana ya pressure washer hizi za kichina kufa kufa hovyo hasa rubber zake na vifaa vyake vya ndani....
Nikaamua leo nifanye tafiti nikagundua car wash kubwa kwenye ma petrol station wanatumia...
Wasalaam wakuu,
To the topic
Over the recent 3 / 4 years nimekua concerned sana na afya yangu (weight loss / lishe bora) kuepukana na maradhi ya kujitakia (lifestyle) kwani afya bora ndio kila kitu
Hapo Awali Nilikua na uzito wa 105 Kgs while im supposed to be 75 - 85 average. Im glad...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.