Kifungu cha 7 (1) cha Sheria ya Kodi ya Mapato, Sura ya 332 (kama ilivyorekebishwa Mwaka 2019) kinasema kuwa, mapato ya mtu binafsi kutokana na ajira kwa mwaka wa mapato yatakuwa faida aipatayo mtu huyo kutokana na ajira ya mtu huyo kwa mwaka wa mapato.
Aidha, Kifungu cha 7 (3) (k) cha Sheria...
Umepotosha umma brother tena saaana....sometimes kama hamjui how tax system work achieni wataalam wawasaidie wapo tax consultant wapo accountants na economist...sema unachojua
Please wanajamii,, nimeitwa kwenye interview ya KPMG baada ya kupita kwenye aptitude test,, naomba mwenye ufaham wa common question asked anisaidie,, i never attended any interview before
Hizo rank ni web ranking Jaman,, just web,,,, we soma chuo utoke wangapi ni ma Finance Manager na wengine wamejiajiri na wamesoma CBE,,, huu ni utoto wa form six na nyie mlioko vyouni njoo kitaa,, uone IFM yupo kazin we UD una mbwela na wengine UD yupo kazin na wewe UD mwingine ana mbwela tu...
Nyie ndo mna bore kinoma mna wapoonda mara ooh wana i support ccm mbona wasnii kibao karibu wote walii support ccm na bado wapo juu nasema hivi komedi yao ni best hapa town kama una lia lia
Ujinga ni kupewa degree za bure mpaka ukawa daktar kisa baraza lako la mawaziri na bunge kuna madokta na ma prof wa kutosha
ujinga ni kuilazimisha shlng ishuke mpaka 2950 ifikapo mwez wa march mwaka huu
Dah kweli hii serikali n ckivu mnooo ukizingatia bwana mkubwa still kimya kwanza ndo yuko busy na uzinduzi cunajua ni mzee wa shughuli? Nafikiri anapanga ziara ya kwenda out of country to keep him busy again
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.