Mkuu wa idara ya Regional Chuo cha Mipango IRDP acha ukiritimba na roho mbaya... Kila mwaka wanafunzi wanashindwa kugraduate kutokana na kuzuia matokeo yao! Badilika usijione mungu mtu hii ni dunia tu acha kukwamisha wanafunzi kufikia malengo yao. Wahadhiri wenzako wanakushangaa tu hushauriki...
Mwalimu wa shule ya msingi Flora Mariki ameuawa kwa kuchomwa visu na mtoto wa shemeji yake tukio hilo limetokea jijini Dar es salaam Tabata Segerea.
Mtoto wa shemeji ni binti wa miaka 21 pia familia wanataka kuficha ushahidi ndugu wa mwanamke wamekatazwa kushiriki msiba.
Pia soma:Mtuhumiwa...
Wakuu kuna jambo linanitatiza.
Nimekuwa na mahusiano kwa miaka miwili sasa huyu mwenzangu anataka tuchukuane kimya kimya (sogea tuishi) pasipo ndoa rasmi. Anaeleza kuwa baada ya mimi kwenda kwake wazazi wake waende nyumbani kwetu kutoa taarifa kuwa nimeolewa!
Kwa upande wangu nimejaribu...
Habari zenu wakuu...
Nilibahatika kupata kazi katika shirika binafsi linalojihusisha na mambo ya kijamii na watoto wa mtaani ( kwa sasa ninayo miezi 6 katika hii kazi).
Kazi inanipatia changamoto kwa sababu kuna mfanyakazi mwenzangu (hana professional) kabla sijaajiriwa yeye alikuwa katika...
Wakuu heri ya mwaka mpya. Tangu mwaka uanze napata mkanganyiko kuhusu maombi ya kazi katika mashirika binafsi kuwa na utaratibu wa kunitumia barua pepe kuwa nimeshachaguliwa kwenye interview, pasipo deadline ya tangazo la kazi kuisha. Pia huwa wanaambatanisha form ya kujaza ( new entry staff...
Habar za mchana wakuu,
Ndugu yangu ( me) amepata msongo wa mawazo na tumejaribu kumsaidia kisaikolojia, alipata nafuu kwa muda, ila hali imejirudia tena.
Mbinu gani nitakazotumia aweze kujirudi katika hali yake ya kawaida.
hili tatizo limerudi leo ni siku ya tatu anakuwa mnyonge sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.