Upendo iswa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 334
- 515
Mwalimu wa shule ya msingi Flora Mariki ameuawa kwa kuchomwa visu na mtoto wa shemeji yake tukio hilo limetokea jijini Dar es salaam Tabata Segerea.
Mtoto wa shemeji ni binti wa miaka 21 pia familia wanataka kuficha ushahidi ndugu wa mwanamke wamekatazwa kushiriki msiba.
Pia soma:Mtuhumiwa wa mauaji ya Frola Mariki akamatwa
Mtoto wa shemeji ni binti wa miaka 21 pia familia wanataka kuficha ushahidi ndugu wa mwanamke wamekatazwa kushiriki msiba.
Pia soma:Mtuhumiwa wa mauaji ya Frola Mariki akamatwa