Nakubaliana na kanuni yako mkuu hizi kanuni zipo nyingi na nzuri kuna nyingine inaitwa 50% 30% 20% asilimia 50 ya kipato chako iwe kwaajili ya matumizi yote uliyonayo 20% savings(akiba) 30% iwe kwenye investments shida inaanzia kwenye nidhamu ya matumizi ya pesa inahitajika akili ya mwendawazimu...
Wakuu habarini za jioni,
Naomba kufahamishwa uelewa kuhufu Bima ya NHIF ukishaitumia mara moja mpka ipite siku saba ndio unaweza kuitumia tena kwa matibabu hii imekaaje
Wakuu habari msaada kwenya tuta kuna mdogo wangu namfanyia application za vyuo hii Bachelor of Science in Education na Bachelor of Science with Education tofauti yake ni ipi
Ukiamua kupanda mahindi yaliyokobolewa shambani kama yataota kapande Chuoni ni sehem yenye vishawishi vingi sna na muda wa kusoma uko limited usikuwa umekomaa akili vya kutosha kuna upande utakuzid nguvu na utajkuta muda wa kusoma hupati unahangaika na mahusiano wenzako wanasoma kusoma Ibada...
Tuwasaidie vijana wetu wajitanbue na wawe uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi itawasaidia kukomaa kihisia na kuwa na uwezo wa kutafsiri na kupokea taarifa zinazoumiza pia itatusaidia vijana wetu kuwajenga ktk misingi itakayokuwa inawaongoza vzr wapunguze kulia kulia bila sababu
Kupanga ni kuchagua ukitaka kuishi ambayo hujui nn unakifanya ishi bila kujifanyia tathimini kwenye mambo unayoyafanya mara kwa mara tenga muda wa kujifanyia tathimini kujipima kujitafakari wewe mwenyewe utapata majibu mazuri ya swali la hii topic
Jambo baya kabisa katka haya mambo ni expectation ukiweza kuishi kwa kucontrol expectation pamoja na kufanya vitu bila kutamguliza hisia utakuwa mtu bora sna usiexpect chochote toka kwa mtu yoyote mtu ukimpenda akakukataa unaachana nae angalia mambo mengne love is an automatic process huhitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.