Habari wana jamvi
Poleni kwa shughuli nzito ya kujenga taifa
Naomba kujulishwa kuhusiana na mitumba kwa mnyumbuliko huu
Baro la mashati grade 1: a)bei
b)kg
c)piece zinakaa ngapi/
yaani idadi
Pia ya nchi gani ndo ina soko hapa bongo
Habari wanajamvi,
Rejea kichwa hapo juu, natamani kuhamia Dodoma kwa ajili ya kujitafuta, mtaji wangu kimaisha ni m4.5 niliwaza kifungua duka la vipodozi dogo kiasi na bodaboda used. Mimi niwe boda wife akae dukani. Je, kwa mnaoijua vizuri Dodoma ntatoboa?
Lejea somo tajwa hapo juu.
Nimemapiza shahada yangu Mwaka 2017 Chuo kikuu Mzumbe
Natafuta kazi maana sina ajira toka nmemaliza chuo zaidi ya kupalangana ili kuendesha maisha yngu yenye mahitaji kama binadam yeyote.
#0789701465
#0764579546
Naomba kujuzwa juu ya biashara ya mpunga katika bonde la Kilombero mkoani Morogoro katika angle zifuatazo
1. Msimu wa biashara hizo
2. Mtaji wa chini kabisa wa biashara hiyo
3. Changamoto zake
4. Faida zake kulingana na muda
Habari,
Nina mpango wa kufungua saloon ya kiume, ila ninaomba kufahamishwa au kuongezewa maarifa katika mambo yahusuyo biashara hiyo.
Natanguliza shukrani.
Habari, Mimi ni mkazi wa Morogoro vijijini. Biashara yangu ni ya kukoboa zao(silitaji kwa sababu binafsi) ni mwaka wa tatu sasa nafuatilia kuwekewa umeme katika kiwanda hichi kidogo maana natumia diesel lakini gharama nnazopewa ni zaidi ya milioni kumi, ikiwemo na kununua transform.
Wataalam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.