JOSE MKARA
Senior Member
- Jun 9, 2018
- 101
- 130
Naomba kujuzwa juu ya biashara ya mpunga katika bonde la Kilombero mkoani Morogoro katika angle zifuatazo
1. Msimu wa biashara hizo
2. Mtaji wa chini kabisa wa biashara hiyo
3. Changamoto zake
4. Faida zake kulingana na muda
1. Msimu wa biashara hizo
2. Mtaji wa chini kabisa wa biashara hiyo
3. Changamoto zake
4. Faida zake kulingana na muda